Polepole hajawahi kuwa mwanachama wa CCM bali alikuwa mfanyakazi wa CCM. Magufuli alimpa kazi yeye na Bashiru kwa sababu zake binafsiNa hata ktk episodes zake zote, Polepole alikuwa alilalamikia uhuni ndani ya ccm na siyo vinginevyo. Polepole mpk sasa ni mwanachama mtiifu wa ccm.
Polepole analalamikia kuwa wahuni wameiteka chama cha mapomduzi.
Leo tunamtaka , hakuna mda wa kuangalia ya nyuma. Full stopSiungi mkono kutekwa Kwake na si shabiki wa watesi wa Watanzania. Ukweli ni kwamba alitusaliti na kutubana ga.Wakati ule anatutambia na alichokiita yeyə Viety alitupitisha via də la rosa.Watanzania tuwe na msimamo, Huyo ni ntu wao, wanajua watendalo ni Mambo yao.