Huyu mtu alitunyanyasa sana

Huyu mtu alitunyanyasa sana

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
16,513
Reaction score
15,152
Siungi mkono kutekwa Kwake na si shabiki wa watesi wa Watanzania. Ukweli ni kwamba alitusaliti na kutubana ga.Wakati ule anatutambia na alichokiita yeyə Viety alitupitisha via də la rosa.Watanzania tuwe na msimamo, Huyo ni ntu wao, wanajua watendalo ni Mambo yao.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa wao na mali zao tupo nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Tupambane na mfumo ambao pengine unahisi yeye ni mnufaika wake .

Kwa kufanya hivyo unakuwa siyo tu umechangia kumnusuru na kifo (kama bado yupo hai) bali utakuwa utakuwa umejitengenezea mazingira salama ya kesho yako na yavizazi vyako

Kwa tafasiri hiyo hoja ya usafi au dhambi zake kwasasa haina tija kwako wala kwake , na kibaya zaidi , ikitokea umeshupaza shingo , ipo siku nawewe yanaweza kukukuta kama yalitomkuta tena kwa kosa lilelile la kujiona wewe siyo miongoni mwa wale watakaokuja kuguswa na yanayopigiwa kelele na wengine .

Shtuka.
 
Siungi mkono kutekwa Kwake na si shabiki wa watesi wa Watanzania. Ukweli ni kwamba alitusaliti na kutubana ga.Wakati ule anatutambia na alichokiita yeyə Viety alitupitisha via də la rosa.Watanzania tuwe na msimamo, Huyo ni ntu wao, wanajua watendalo ni Mambo yao.
Unafikiri vitu alivyokuwa anavipinga havikuathiri?
Pesa za kutoa huduma za kijamii zinaenda mifukoni wa Samia na genge lake. Usije kulalamika kuhusu huduma mbovu za afya, elimu, barabara, mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira, kuongezeka vibaka, majambazi mtaani, wewe kutekwa siku moja.Hayo yatakuwa matokeo ya uongozi mbovu wa Samia.

Nimemuona John Heche, amekua sana kisiasa anapigania wananchi wote hata CCM waliotekwa.

Amevuka level za kugawanywa kitoto kwa vyama, dini, kabila awamu. Anapigania maslahi ya Tanzania na wananchi wote badala ya maslahi binafsi, au ya kabila au ya chama chake pekee.

Viongozi ndio kama hawa ndio wanafaa kuongoza hili Taifa.
 
Unafikiri vitu alivyokuwa anavipinga havikuathiri?
Pesa za kutoa huduma za kijamii zinaenda mifukoni wa Samia na genge lake. Usije kulalamika kuhusu huduma mbovu za afya, elimu, barabara, mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira, kuongezeka vibaka, majambazi mtaani, wewe kutekwa siku moja.Hayo yatakuwa matokeo ya uongozi mbovu wa Samia.

Nimemuona John Heche, amekua sana kisiasa anapigania wananchi wote hata CCM waliotekwa.

Amevuka level za kugawanywa kitoto kwa vyama, dini, kabila awamu. Anapigania maslahi ya Tanzania na wananchi wote badala ya maslahi binafsi, au ya kabila au ya chama chake pekee.

Viongozi ndio kama hawa ndio wanafaa kuongoza hili Taifa.
Kwani alivyokuwa anavitetea wakati wa jiwe haviniathiri?
 
Tupambane na mfumo ambao pengine unahisi yeye ni mnufaika wake .

Kwa kufanya hivyo unakuwa siyo tu umechangia kumnusuru na kifo (kama bado yupo hai) bali utakuwa utakuwa umejitengenezea mazingira salama ya kesho yako na yavizazi vyako

Kwa tafasiri hiyo hoja ya usafi au dhambi zake kwasasa haina tija kwako wala kwake , na kibaya zaidi , ikitokea umeshupaza shingo , ipo siku nawewe yanaweza kukukuta kama yalitomkuta tena kwa kosa lilelile la kujiona wewe siyo miongoni mwa wale watakaokuja kuguswa na yanayopigiwa kelele na wengine .

Shtuka.
Wakati ana shabikia mao vu ya jiwe alikuwa insane?
 
Siungi mkono kutekwa Kwake na si shabiki wa watesi wa Watanzania. Ukweli ni kwamba alitusaliti na kutubana ga.Wakati ule anatutambia na alichokiita yeyə Viety alitupitisha via də la rosa.Watanzania tuwe na msimamo, Huyo ni ntu wao, wanajua watendalo ni Mambo yao.
Exactly!! Ni unafiki leo kuanza kumtetea Polepole. Wacha anywee kikombe alichokitengeneza
 
Adui sio your fellow brother bali ni mfumo unaoleta loopholes za yeye jana mwingine leo na hata wewe kesho kuweza kutendewa aliyetendewa so called ADUI yako.....

SISI na WAO, Divide and Rule ni kama nyote mpo kwenye kikaango badala ya kushikamana ili kutoka kwenye moto mnakanyagana vichwa ili yeye aungue kabla yako.... (Perish as Individuals)
 
balibabambonahi, Hii issue ni zaidi ya mtu mmoja, issue ni kuondoa mifumo mibovu inayotumiwa na genge ovu kupora rasilimali za Tanganyika na kuwatumia Watanganyika kupambana wenyewe kwa wenyewe.

Polisi, usalama, uvyama, kabila, dini,mahakama kupambana na Watanzania wenzao maskini na kuwatumia hao hao Watanzania kuwalinda hawa majambazi waendelee na ufisadi wao bila shida.

Wewe wamekupata vizuri na sera yao ya divide and rule. Wagawanye uwatawale bila shida.
 
Exactly!! Ni unafiki leo kuanza kumtetea Polepole. Wache
Wanafki ni ambao walikuwa wakipinga utekaji na uuwaji kipindi cha Magufuli ila sasa hivi hawazungumzii kabisa hayo mambo ingawa bado yanaendelea.

Wanafki ni wale ambao wao huishia kukosoa kwa kujificha kwa kuwaogopa wasiojulikana na hajawahi kupigwa hata konzi ila anataka tusimuonee huruma Polepole aliyeamua kukosoa waziwazi.
 
Back
Top Bottom