Kwani kwenu ni Musoma Mkuu?Huyu kwetu mbona Albino.
Anaonekana Inategemea unatumia macho gani
Anaonekana Inategemea unatumia macho gani
Hizo rangi adimu zinapotea siku hizi, tunabaki na wakina Nyoshi El Saadat.
Umewahi kufika Kg, Bk au Nj?Kwani kwenu ni Musoma Mkuu?
Msaada wadau. Nyoshi ana rangi gani?
Ni ngumu kujua kwakuwa inabadilishwa kila sikuMsaada wadau. Nyoshi ana rangi gani?
Kama Kinyonga....!Ni ngumu kujua kwakuwa inabadilishwa kila siku
Ana nafuuKama Kinyonga....!
hapa jicho la tatu lazma lihusike au la ngap mkuuAnaonekana Inategemea unatumia macho gani
Na hilo wigi lake sasa?
Nimesoma nao huko nje kila alfajiri mchana na jioni utawakuta bafuni na visado vya mikorogoNa hilo wigi lake sasa?
Niliwahi kuambiwa na mkongo mmoja kuwa kwao ni fahari kujichubua.
Wake kwa waume wanashindana kujichubua (yeye alikuwa hasemi kujichubua bali kupendeza).