Huyu msichana ninayemtongoza ananipenda au ananizingua?

Huyu msichana ninayemtongoza ananipenda au ananizingua?

Ushaona hakupendi, sasa mlazimishe akubali umuweke ndani alafu vituko vikianza ndani ya nyumba ulete uzi wa kuomba ushauri.

Ukishaona manzi hakupendi hebu achana nae usitafute matatizo ya baadae.
 
Jamani wana jamvi ,mimi kuna demu mmoja hivi ninamtongoza yapata wiki mbili hivi mpaka sasa ,lakini jibu lake ni moja tu" anasema kwa sasa hataki kuwa na mpenzi coz anataka kumpumzika ".Ila kinachonishangaza ni kwamba kila nikikutana nae na kumuomba nimkumbatie huwa anakubali ,Na nikimuomba tupige story huwa anakubali na nampiga mpk mabusu.Ila ni kitu kimoja tu ambacho hakipendi '"Nikimuita baby au mpenzi huwa anachukia sana".Juzi nimemtumia sms na kumuomba nikutane nae lkn kanijibu shit sana, "Sitaki kukutana nawe tena na km vp unipotezee tu maana sitaki usumbufu,"
Mimi nikamjibu poa km vp futa na namba yangu kabxa lkn hakunijibu chochote .

Sasa leo hii nimekaa pande za home mida ya mchana,ghafla sms iliingia kwny simu yangu ,nilipocheck nikakuta sms ya yule demu ninayemtongoza ikisema hivi"mmh mbona upo kimya sana" Me sikumjibu chochote maana nilishamtoa akilini mwangu ,

Ninaomba ushauri wenu wadau maana sielewi km ananipenda au ananizingua tu .
wanaume huwa hatujibu poa futa namba yangu hayo mambo waachie wanawake af hapo ni mbinu sio lazima umuite mpenzi sijui we mjali tu atakuwa wako maana hana uhakika kama aingie kwa relation au laa na kwa asilimia kadhaa ashakukubali sema sijui kwanini hatuna mbinu za kisaikolojia watu mnakuwa wagumuuuu tumbia akili na mbinu acha kukomaaa utamkosa mazima.
 
Jamani wana jamvi ,mimi kuna demu mmoja hivi ninamtongoza yapata wiki mbili hivi mpaka sasa ,lkn jibu lake ni moja tu" anasema kwa sasa hataki kuwa na mpenzi coz anataka kumpumzika ".Ila kinachonishangaza ni kwamba kila nikikutana nae na kumuomba nimkumbatie huwa anakubali ,Na nikimuomba tupige story huwa anakubali na nampiga mpk mabusu.Ila ni kitu kimoja tu ambacho hakipendi '"Nikimuita baby au mpenzi huwa anachukia sana".Juzi nimemtumia sms na kumuomba nikutane nae lkn kanijibu shit sana, "Sitaki kukutana nawe tena na km vp unipotezee tu maana sitaki usumbufu,"
Mimi nikamjibu poa km vp futa na namba yangu kabxa lkn hakunijibu chochote .

Sasa leo hii nimekaa pande za home mida ya mchana,ghafla sms iliingia kwny simu yangu ,nilipocheck nikakuta sms ya yule demu ninayemtongoza ikisema hivi"mmh mbona upo kimya sana" Me sikumjibu chochote maana nilishamtoa akilini mwangu ,

Ninaomba ushauri wenu wadau maana sielewi km ananipenda au ananizingua tu .

Wanawake huwa hawakubali moja kwa moja na pia hii ni njia mojawapo ya kupima upendo wako. Wanawake huhitaji kubembelezwa. Jiongeze mr. huyo amekukubali 100%. Kutongoza kunahitaji utumie democracy na siyo udikiteta
 
Wanawake huwa hawakubali moja kwa moja na pia hii ni njia mojawapo ya kupima upendo wako. Wanawake huhitaji kubembelezwa. Jiongeze mr. huyo amekukubali 100%. Kutongoza kunahitaji utumie democracy na siyo udikiteta
sawa mkuu nimekuelewa
 
"Me sikumjibu chochote maana nilishamtoa akilini mwangu"

Unahitaji msaada wa nini wakati ushasema hapo [emoji121]ushamtoa akilini?

Na wewe Play Hard to Get muwe even


Hard to get wala si game za kiume. Jamaa akomae na binti, anamuogopea nini?
Akomae mpaka binti aeleweke
 
Jamani wana jamvi ,mimi kuna demu mmoja hivi ninamtongoza yapata wiki mbili hivi mpaka sasa ,lakini jibu lake ni moja tu" anasema kwa sasa hataki kuwa na mpenzi kwa sababu anataka kumpumzika "

Ila kinachonishangaza ni kwamba kila nikikutana nae na kumuomba nimkumbatie huwa anakubali na nikimuomba tupige story huwa anakubali na nampiga mpaka mabusu la ni kitu kimoja tu ambacho hakipendi '"Nikimuita baby au mpenzi huwa anachukia sana.

Juzi nimemtumia meseji na kumuomba nikutane nae lakini kanijibu shit sana, "Sitaki kukutana nawe tena na kama vipi unipotezee tu maana sitaki usumbufu mimi nikamjibu poa kama vip futa na namba yangu kabisa lakini hakunijibu chochote.

Sasa leo hii nimekaa pande za home mida ya mchana,ghafla meseji iliingia kwenye simu yangu ,nilipocheck nikakuta meseji ya yule demu ninayemtongoza ikisema hivi"mmh mbona upo kimya sana" Me sikumjibu chochote maana nilishamtoa akilini mwangu ,

Ninaomba ushauri wenu wadau maana sielewi kama ananipenda au ananizingua tu .
Nakuhurumia sana!
 
Ushauri wangu:

Endelea kumtoa akilini ikiwezekana na wewe jitoe akili kabisa
 
safi sana.. tena alitakiwa hata hilo kumbato akunyimae make sio kwa hizi scandals !!!!!? haijalishi mjf or not ushindweeee






cc Smart911
 
"Me sikumjibu chochote maana nilishamtoa akilini mwangu"

Unahitaji msaada wa nini wakati ushasema hapo [emoji121]ushamtoa akilini?

Na wewe Play Hard to Get muwe even
hii ndio jibu sahihi ....
 
Anakulinganisha huyo. Akikutumia SMS mjibu tu kawaida kikauzu au futa Namba yake mpotezee. Maana ana MTU mwingine
 
Sasa kama umemtoa akilini unataka ushauri wa nini ebu kuwa mwanaume unawadhalilisha wanaume wenzio halaf jua tu huyo mdada hakupendi kabisa
Na usikute ni mwanaume wa Dar ndo wenye tabia za kulialia mitandaoni.
 
Back
Top Bottom