Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

Hey..Huyo mdada hakupendi na never expect her to love u..!! Dats all I can say..tafuta mwanamke mwingne uliyeachana nae ndo alikua mke huyo uliyenae ni part time tu ikifika mda wake atakuacha na kwenda where she belong..!!! Think twice ma dear
 
njunjaneni tu hakuna namna...
mpaka yatapokupata makubwa kabisaa...ndo akili utaipata

bora hako kadada mlivoachana..
mwanammke ana makucha yote/ dalili zote za kuwa hana mapenzi na wewe ila tu amejiwekeza, kama kwa baba ake.. na mtu malaya huwa kulala na mwanaume haoni tabu kabisa ila malengo yake yatimie...

asante kwa chombezo pia...
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
Kuoa hakuna umri...20,22,23.......40.
Ukimpata
Mtu sahihi oa hata kama mnalala chini as long as una shughuli halali unafanya.
Mkijipanga mta toboa tu.
Swala
La kujaza basi la mwendokasi ni kuhalibu pesa zako (wanawake)
Hakuna tuzo za uzinzi na umalaya zaid ya maradhi.
Starehe ya umalaya na ngono huwa haidumu hata ukisex na ukajaza uwanja wa taifa.
(sex hata na miss wa dunia kutoka Venezuela)
Utasikia raha sana Uta kojoa sawa ila utamu hauto dumu ....(kwa wanao jielewa na wenye hofu ya mungu kwao umalaya sio dili)
Binafsi
Kuhusu huyo mwanamke wako inaonyesha una mpenda sana toka moyon hata tukikushaur ni kaz bure (wew ndie mweny maamuz ya mwisho)
maelezo yako yanaonyesha kuna uwalakin kweny penz la huyo dada kwako oooho
Siku moja usishangae akija kukubadilikia mpende
Ila kua na tahadhal usiweke moyo wako wote kwa mwanamke kua na taadhal.
Kama utaona hakufai anza utaratib wa kutafuta mke mwema usiache kumshirikisha mungu katika swala lako.
 
apo mna mwanamke wakuoa,,uyo mwanamke amechoma raman,,either ameachwa gafla or something,,bt trust me akimpata wamaana umekwisha,,,uyo anaondoka mda wwte trust me,,,kingine amna ndoa apo fanya mambo mengine na ukitaka kufanya maisha yawe simple mchukulie poa as she dd to u
 
Muda bado,ndio kwanza miaka 28,ukifika 31 utapata jibu au utarudi Na story iliyofupishwa maana mengi utakua ushapata majibu yake
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
Haaaaaa haaaa umenichekesha sana we jamaaa
 
Labda nitoe angalizo,
Watu mnaonitupia vijembe humu hamnitendei haki kabisa,
Ndio maana nmeomba ushauri wenu pia niamue what to do,
Haya yangu sio mapya sana kwenye jamii na maisha yetu, kuna watu yamewakuta zaidi ya haya. Mimi kwa upande wangu sioni kama nimekosea sana maana sijamuoa bado..

But nashukuru kwa ushauri wenu wakuu..
Vipi umemuoa binti??
 
Duh,
Hilo hata halihusiani ndugu,
BTW , hayo mambo ni long way back, siku hizi hakuna mwanaume anahangaika kutongoza wanawake,
Ukiwa tu smart, msafi, kipato kiasi na ukajiheshimu wanakutongoza wenyewe,
Na pia kuna watu humu mnajitutumua as if you are so much experts kwenye mapenzi, but usiku kucha mnalia na mmeshaingia kwenye ndoa.
Sitaki kufika huko ndio maana nimejianika hapa Leo.
Nilirudiana nae huyu mpenzi wangu kwa kuwa nampenda niliamini things would be different,
Thanks nimepata ushauri mzuri kwa baadhi ya watu humu.

Nashukuru kwa comment yako pia.
Things are not different anymore kama ylivo expect.
 
Mkuu Young master,
Sidhani kama ni kosa kuja kuuliza wakongwe humu,
I am just a human , I am weak somewhere like you and all men, ingawaje Nina sababu za kujiona shujaa kwa kuweka hadharani madhaifu yangu ili nipewe ushauri,
Wengi wetu Men hujitia wajuaji na Kuvumilia maumivu kimyakimya huku tukipretend kama vile things are right.mwishowe stress, free radicals zinazalishwa kwa wingi kwenye mzunguko wa damu, mtu anazeeka na kufa kabla ya wakati,
Mimi sioni tatizo kupata uzoefu juu ya haya mambo kabla ya kuamua .
Nimeomba tu ushauri na sio nimeomba nipangiwe la kufanya.
Thanks for your concern anyway.
Sasa mkuu tunaweza kukushauri kumbe tunapoteza tu muda?? Kwasababu tayari akilini umeshajipangia nini cha kufanya
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah
 
Habari za wakati wana jf.
Naomba ushauri wenu tafadhari.

Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa ninaishi dar, elimu yangu ni chuo kikuu, Nina kazi na kipato changu ni cha wastani.

Katika maisha yangu, nilimpenda msichana mmoja wakati nipo kidato cha tano,
Yeye wakati huo alikuwa kidato cha nne,
Kwa ufupi, ni msichana mweupe, msafi, mrefu wa wastani , ana staha, ni mzuri, ana shape nzuri kiasi kwamba wanaume wengi huvutiwa kuwa nae.
Ni msichana ambaye tumetoka kijiji kimoja, kwa umri nimemzidi mwaka mmoja, amemaliza chuo mwaka huu maana alisoma diploma kwanza, (another story though..)

nilianza kumtaka kimapenzi huyu binti tangu wakati huo, Mimi nilikuwa nasoma shule ya Wavulana na yeye alikuwa shule ya mchanganyiko..
Nilitamani sana kuwa nae, kuna wakati alinikubali, lakini haikudumu kwa muda aliniambia haoni nafasi yangu moyoni mwake,
Nilijitahidi sana kuubadilisha moyo wake, nilijitoa kwake Mara nyingi na kwa mengi sana, lakini haikufaa, japo alikuwa akinifariji kuwa kama imepangwa awe wangu atakuwa tu..
Ni Mara mbili alinikubalia na mwenyewe akaniacha
Wakati huo Mimi pia nilibahatika kupendwa na wasichana wengine, nikatoka nao japo bado sikuamini kama naweza kuishi bila yeye.
Na pia yeye kuna wakati nilishuhudia akiwa na mahusiano na vijana wengine , iliniuma kweli na nilipojaribu kuachana nae haikuwa rahisi kabisa kwangu.
Nilipokuwa chuo nilikuwa namtembelea Mara kwa Mara(tulikuwa vuo tofauti vilivyopo mji mmoja) , japo yeye kunitembelea ilikuwa hadi nimlazimishe, au awe na shida binafsi.
Baada ya Kumaliza chuo niliondoka nikamuacha yeye bado yupo chuo na kwa hapo mawasiliano baina yetu yalififia,
Japo sikumsahau ila nilijisemea moyoni kuwa sio lazima niwe na yeye maana huku mtaani wanawake ni wengi sana na wengine wananitaka tena kwa kunitongoza.
Nilijichanganya na wanawake wengine japo nilijitahidi kuwa makini kulinda Afya na heshima yangu kwa ujumla.

Baada ya siku na miaka kadhaa kuenda hatimaye nilipata binti mwingine aliyenipenda sana, kuna wakati alikuwa hadi ananikera, maana haishi kunisumbua kwa simu na meseji hata nikiwa kazini au kanisani..
Kwakweli nilijiaminisha kuwa huyu ndiye niweke malengo nae, kwa pamoja tulifurahia sana mahusiano yetu..

Lakini wakati wote huo sikuweza kumsahau X wangu pamoja na kuwa na huyu binti mpya.
Ilikuwa tunakumbukana japo Mara moja kwa mwezi.

Sasa ilifika wakati huyu X niliyemtafuta kwa miaka bila success akaniuliza kama bado nampenda;
Kwakweli nilifikiria sana ila nikaja na jibu moja kuwa 'NDIO' (stupid udhaifu wa wanaume tulio wengi)
Akanitumia picha moja tuliyopiga pamoja zamani sana akaniambia niiweke profile ya Whatsap..
Ilikuwa ni vigumu sana, lakini nikajikuta nimeiweka. (Mpenz niliekuwanae hakuwa Whatsap) kwaiyo hapo miundombinu haikuwa migumu kwa upande wa pili.

baada ya kuona maswali na majibu yanachukua umaarufu katika conversations na ma-ex na marafiki na ndugu na jamaa, niliamua kuitoa ile picha..
Huku nikiamini nimemridhisha huyu mwanamke.,

Siku kadhaa baadae aliniambia anataka kuja dar kutafuta laptop hivyo angependa afikie kwangu na akataka nimjibu kama hilo linawezekana..
Hahahahaha..
Kwakweli lilikuwa ni swali rahisi sana zaidi ya swali la factors for rise and fall of mali empire kwenye history au lile swali la kuprove kama acceleration due to gravity = 9.8ms-1 kwenye simple harmonic motion..)
Ili kuhakikisha habadilishi mpango wake nilimwambia anitumie hiyo budget ya PC nimtafutie mwenyewe ili akija asipate shida ya kwenda kariakoo au mlimani city kabisa,

Kwakuwa binti ananiamini katika mambo mengi ya maisha alinitumia ile pesa huku nikimkoleza kwa kumuahidi kumtafutia PC adhimu..hatimae kama ndoto hivi nilimpokea binti ubungo, nikaenda nae hadi geto kwangu sinza,
Nilikaa nae kwa siku 4 ndani, yaani siku zote hizo ilikuwa ni kama ndoto kwangu aisee, nilimtafuna mtoto wa watu hadi akawa anashindwa kufumbua macho,
Yaani nilienjoy hatari, sikuwahi enjoy sex kiasi kile.
Wakati mahaba yamenoga, nikaamua kumwambia kuwa Nina mpenzi mwingine na ananitegemea na kuniamini sana,
Hakuonesha kustuka,
Akafikiria kwa muda, akaangalia picha ya mpenz wangu, akaonekana kumhurumia, akaniambia niendelee nae tu nisimuache maana yeye hawezi kuolewa na Mimi maana umri wetu ni tumekaribiana sana na amenipa penzi lake kama shukrani ya kumpenda na kumjali kwa miaka mingi.
Moyoni sikuridhika na hayo majibu yake mepesi kabisa maana aliniambia hana mtu na yupo absolutely single at the moment. (Just like a free radical)
Baada ya Siku 4 za uvunjifu wa amri ya sita nikamkatia tiketi akarudi chuo.
Baada ya hapo mawasiliano kati yetu yalishika kasi huku mwenyewe nikianza mchakato wa kuachana na huyu binti mwingine taratibu , nilitaka nimuache kwa njia nzuri ili nisimuumize kwa kuwa umri wake ulikuwa ni mdogo .

Baadae nilifanikiwa kumuacha mpenz niliekuwa nae, nikawa na huyu kwa 100% na nikaacha kila aina ya mchepuko.
Hadi sasa nipo nae yeye tu na huwa anakuja kwangu na kukaa kwa Uhuru na kuondoka Mara kwa mara, ameshahamishia nguo na baadhi ya vitu vyake kwangu.

Tatizo ni Hili,
Amekuwa na watu kadhaa kabla yangu ,
Ingawa hilo sio tatizo sana,
Kuna wakati nimemuona akichati na mwanaume mwingine wakisifiana sana na anaenda mbali zaidi akidai bado anamkumbuka sana , nilipomuuliza akaniambia huyo ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza,
OMG, nikikereheka na nikampa adhabu Kali ya kisaikolojia iliyomfanya alie mbele yangu hadi nikajikuta nimemsamehe..

Tatizo lingine huyu mwanamke,
she isn't proud of me yet, hanitambulishi kwa rafiki zake freely kama mimi ninavyomtambulisha yeye,
na huwa haoneshi kuumia, hata nikimwambia Leo tuachane yupo tayari..
Nilijaribu kuzungumza nae kuhusu hili akaniambia niwe huru tu kutafuta mwanamke mwingine ikiwa naona yeye hanifai,
Je ni kweli wanawake humuacha mwanaume kirahisi hivyo?

Mara zote ananiambia ananipenda sana but hana wivu na Mimi kabisa,
Ikiwa anawafahamu baadhi ya wasichana na ma -ex wangu wanaonitaka, mmoja tupo nae group moja la Whatsap na huwa haipiti siku asinikumbuke kwa msg za mahaba , na yeye anaona hayo yote maana pia ni mamber ,ila hata haoneshi kujali..
Nimelileta hili humu jf ikiwa tunafikiria kuanza hatua za awali za ndoa mwakani Mungu akipenda.,

Naombeni ushauri wenu wapendwa, nikiwa nafahamu ni bora zaidi kuumia kwa kumpoteza mchumba kuliko kuumia katika ndoa .
Nina nafasi ya kubadilisha maamuzi for betterment of my future.
Je , Huyu mwanamke ananifaa?
Huyo hakupendi toka mwanzo na hatakuja kukupenda zaidi ya kukuumiza tafuta demu atayekupenda kwa dhati
 
Oa mwanamke ambae anakupenda kwa dhati na mwenye future ya kuwa mama wa familia, uzuri wa sura , shape, weupe ivyo huwa ni extra package
 
Habari za wakati wana jf.
Naomba ushauri wenu tafadhari.

Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa ninaishi dar, elimu yangu ni chuo kikuu, Nina kazi na kipato changu ni cha wastani.

Katika maisha yangu, nilimpenda msichana mmoja wakati nipo kidato cha tano,
Yeye wakati huo alikuwa kidato cha nne,
Kwa ufupi, ni msichana mweupe, msafi, mrefu wa wastani , ana staha, ni mzuri, ana shape nzuri kiasi kwamba wanaume wengi huvutiwa kuwa nae.
Ni msichana ambaye tumetoka kijiji kimoja, kwa umri nimemzidi mwaka mmoja, amemaliza chuo mwaka huu maana alisoma diploma kwanza, (another story though..)

nilianza kumtaka kimapenzi huyu binti tangu wakati huo, Mimi nilikuwa nasoma shule ya Wavulana na yeye alikuwa shule ya mchanganyiko..
Nilitamani sana kuwa nae, kuna wakati alinikubali, lakini haikudumu kwa muda aliniambia haoni nafasi yangu moyoni mwake,
Nilijitahidi sana kuubadilisha moyo wake, nilijitoa kwake Mara nyingi na kwa mengi sana, lakini haikufaa, japo alikuwa akinifariji kuwa kama imepangwa awe wangu atakuwa tu..
Ni Mara mbili alinikubalia na mwenyewe akaniacha
Wakati huo Mimi pia nilibahatika kupendwa na wasichana wengine, nikatoka nao japo bado sikuamini kama naweza kuishi bila yeye.
Na pia yeye kuna wakati nilishuhudia akiwa na mahusiano na vijana wengine , iliniuma kweli na nilipojaribu kuachana nae haikuwa rahisi kabisa kwangu.
Nilipokuwa chuo nilikuwa namtembelea Mara kwa Mara(tulikuwa vuo tofauti vilivyopo mji mmoja) , japo yeye kunitembelea ilikuwa hadi nimlazimishe, au awe na shida binafsi.
Baada ya Kumaliza chuo niliondoka nikamuacha yeye bado yupo chuo na kwa hapo mawasiliano baina yetu yalififia,
Japo sikumsahau ila nilijisemea moyoni kuwa sio lazima niwe na yeye maana huku mtaani wanawake ni wengi sana na wengine wananitaka tena kwa kunitongoza.
Nilijichanganya na wanawake wengine japo nilijitahidi kuwa makini kulinda Afya na heshima yangu kwa ujumla.

Baada ya siku na miaka kadhaa kuenda hatimaye nilipata binti mwingine aliyenipenda sana, kuna wakati alikuwa hadi ananikera, maana haishi kunisumbua kwa simu na meseji hata nikiwa kazini au kanisani..
Kwakweli nilijiaminisha kuwa huyu ndiye niweke malengo nae, kwa pamoja tulifurahia sana mahusiano yetu..

Lakini wakati wote huo sikuweza kumsahau X wangu pamoja na kuwa na huyu binti mpya.
Ilikuwa tunakumbukana japo Mara moja kwa mwezi.

Sasa ilifika wakati huyu X niliyemtafuta kwa miaka bila success akaniuliza kama bado nampenda;
Kwakweli nilifikiria sana ila nikaja na jibu moja kuwa 'NDIO' (stupid udhaifu wa wanaume tulio wengi)
Akanitumia picha moja tuliyopiga pamoja zamani sana akaniambia niiweke profile ya Whatsap..
Ilikuwa ni vigumu sana, lakini nikajikuta nimeiweka. (Mpenz niliekuwanae hakuwa Whatsap) kwaiyo hapo miundombinu haikuwa migumu kwa upande wa pili.

baada ya kuona maswali na majibu yanachukua umaarufu katika conversations na ma-ex na marafiki na ndugu na jamaa, niliamua kuitoa ile picha..
Huku nikiamini nimemridhisha huyu mwanamke.,

Siku kadhaa baadae aliniambia anataka kuja dar kutafuta laptop hivyo angependa afikie kwangu na akataka nimjibu kama hilo linawezekana..
Hahahahaha..
Kwakweli lilikuwa ni swali rahisi sana zaidi ya swali la factors for rise and fall of mali empire kwenye history au lile swali la kuprove kama acceleration due to gravity = 9.8ms-1 kwenye simple harmonic motion..)
Ili kuhakikisha habadilishi mpango wake nilimwambia anitumie hiyo budget ya PC nimtafutie mwenyewe ili akija asipate shida ya kwenda kariakoo au mlimani city kabisa,

Kwakuwa binti ananiamini katika mambo mengi ya maisha alinitumia ile pesa huku nikimkoleza kwa kumuahidi kumtafutia PC adhimu..hatimae kama ndoto hivi nilimpokea binti ubungo, nikaenda nae hadi geto kwangu sinza,
Nilikaa nae kwa siku 4 ndani, yaani siku zote hizo ilikuwa ni kama ndoto kwangu aisee, nilimtafuna mtoto wa watu hadi akawa anashindwa kufumbua macho,
Yaani nilienjoy hatari, sikuwahi enjoy sex kiasi kile.
Wakati mahaba yamenoga, nikaamua kumwambia kuwa Nina mpenzi mwingine na ananitegemea na kuniamini sana,
Hakuonesha kustuka,
Akafikiria kwa muda, akaangalia picha ya mpenz wangu, akaonekana kumhurumia, akaniambia niendelee nae tu nisimuache maana yeye hawezi kuolewa na Mimi maana umri wetu ni tumekaribiana sana na amenipa penzi lake kama shukrani ya kumpenda na kumjali kwa miaka mingi.
Moyoni sikuridhika na hayo majibu yake mepesi kabisa maana aliniambia hana mtu na yupo absolutely single at the moment. (Just like a free radical)
Baada ya Siku 4 za uvunjifu wa amri ya sita nikamkatia tiketi akarudi chuo.
Baada ya hapo mawasiliano kati yetu yalishika kasi huku mwenyewe nikianza mchakato wa kuachana na huyu binti mwingine taratibu , nilitaka nimuache kwa njia nzuri ili nisimuumize kwa kuwa umri wake ulikuwa ni mdogo .

Baadae nilifanikiwa kumuacha mpenz niliekuwa nae, nikawa na huyu kwa 100% na nikaacha kila aina ya mchepuko.
Hadi sasa nipo nae yeye tu na huwa anakuja kwangu na kukaa kwa Uhuru na kuondoka Mara kwa mara, ameshahamishia nguo na baadhi ya vitu vyake kwangu.

Tatizo ni Hili,
Amekuwa na watu kadhaa kabla yangu ,
Ingawa hilo sio tatizo sana,
Kuna wakati nimemuona akichati na mwanaume mwingine wakisifiana sana na anaenda mbali zaidi akidai bado anamkumbuka sana , nilipomuuliza akaniambia huyo ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza,
OMG, nikikereheka na nikampa adhabu Kali ya kisaikolojia iliyomfanya alie mbele yangu hadi nikajikuta nimemsamehe..

Tatizo lingine huyu mwanamke,
she isn't proud of me yet, hanitambulishi kwa rafiki zake freely kama mimi ninavyomtambulisha yeye,
na huwa haoneshi kuumia, hata nikimwambia Leo tuachane yupo tayari..
Nilijaribu kuzungumza nae kuhusu hili akaniambia niwe huru tu kutafuta mwanamke mwingine ikiwa naona yeye hanifai,
Je ni kweli wanawake humuacha mwanaume kirahisi hivyo?

Mara zote ananiambia ananipenda sana but hana wivu na Mimi kabisa,
Ikiwa anawafahamu baadhi ya wasichana na ma -ex wangu wanaonitaka, mmoja tupo nae group moja la Whatsap na huwa haipiti siku asinikumbuke kwa msg za mahaba , na yeye anaona hayo yote maana pia ni mamber ,ila hata haoneshi kujali..
Nimelileta hili humu jf ikiwa tunafikiria kuanza hatua za awali za ndoa mwakani Mungu akipenda.,

Naombeni ushauri wenu wapendwa, nikiwa nafahamu ni bora zaidi kuumia kwa kumpoteza mchumba kuliko kuumia katika ndoa .
Nina nafasi ya kubadilisha maamuzi for betterment of my future.
Je , Huyu mwanamke ananifaa?
Binafsi iko hivii achana na huu ushauri wa jf angekua hahitaji kuwa na wewe msingefika hapo mlipo
Beba beba maushauri ya hawa watu wewe umewapa story ya vitu vichache ambavyo kimsingi vinavumilika kama utajiamini.
Tatizo lako hujiamini na umekutana na mtu dont care sasa unaumia wewe instead of yeye.
Enjoy mapenzi yenu fikiria kujiboresha wewe na mwenzi wako instead of kuanza kuwaza kwanini hakutambulishi kwa rafiki zake.
Jikubali,jiangalie wewe na moyo wako furaha yako na amani yako hutaishi na hawa wana wajf wanaokushauri ilimradi tuu. Wewe ndio unajua unachokitaka na kinachokufaa zaidi .
 
Habari za wakati wana jf.
Naomba ushauri wenu tafadhari.

Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa ninaishi dar, elimu yangu ni chuo kikuu, Nina kazi na kipato changu ni cha wastani.

Katika maisha yangu, nilimpenda msichana mmoja wakati nipo kidato cha tano,
Yeye wakati huo alikuwa kidato cha nne,
Kwa ufupi, ni msichana mweupe, msafi, mrefu wa wastani , ana staha, ni mzuri, ana shape nzuri kiasi kwamba wanaume wengi huvutiwa kuwa nae.
Ni msichana ambaye tumetoka kijiji kimoja, kwa umri nimemzidi mwaka mmoja, amemaliza chuo mwaka huu maana alisoma diploma kwanza, (another story though..)

nilianza kumtaka kimapenzi huyu binti tangu wakati huo, Mimi nilikuwa nasoma shule ya Wavulana na yeye alikuwa shule ya mchanganyiko..
Nilitamani sana kuwa nae, kuna wakati alinikubali, lakini haikudumu kwa muda aliniambia haoni nafasi yangu moyoni mwake,
Nilijitahidi sana kuubadilisha moyo wake, nilijitoa kwake Mara nyingi na kwa mengi sana, lakini haikufaa, japo alikuwa akinifariji kuwa kama imepangwa awe wangu atakuwa tu..
Ni Mara mbili alinikubalia na mwenyewe akaniacha
Wakati huo Mimi pia nilibahatika kupendwa na wasichana wengine, nikatoka nao japo bado sikuamini kama naweza kuishi bila yeye.
Na pia yeye kuna wakati nilishuhudia akiwa na mahusiano na vijana wengine , iliniuma kweli na nilipojaribu kuachana nae haikuwa rahisi kabisa kwangu.
Nilipokuwa chuo nilikuwa namtembelea Mara kwa Mara(tulikuwa vuo tofauti vilivyopo mji mmoja) , japo yeye kunitembelea ilikuwa hadi nimlazimishe, au awe na shida binafsi.
Baada ya Kumaliza chuo niliondoka nikamuacha yeye bado yupo chuo na kwa hapo mawasiliano baina yetu yalififia,
Japo sikumsahau ila nilijisemea moyoni kuwa sio lazima niwe na yeye maana huku mtaani wanawake ni wengi sana na wengine wananitaka tena kwa kunitongoza.
Nilijichanganya na wanawake wengine japo nilijitahidi kuwa makini kulinda Afya na heshima yangu kwa ujumla.

Baada ya siku na miaka kadhaa kuenda hatimaye nilipata binti mwingine aliyenipenda sana, kuna wakati alikuwa hadi ananikera, maana haishi kunisumbua kwa simu na meseji hata nikiwa kazini au kanisani..
Kwakweli nilijiaminisha kuwa huyu ndiye niweke malengo nae, kwa pamoja tulifurahia sana mahusiano yetu..

Lakini wakati wote huo sikuweza kumsahau X wangu pamoja na kuwa na huyu binti mpya.
Ilikuwa tunakumbukana japo Mara moja kwa mwezi.

Sasa ilifika wakati huyu X niliyemtafuta kwa miaka bila success akaniuliza kama bado nampenda;
Kwakweli nilifikiria sana ila nikaja na jibu moja kuwa 'NDIO' (stupid udhaifu wa wanaume tulio wengi)
Akanitumia picha moja tuliyopiga pamoja zamani sana akaniambia niiweke profile ya Whatsap..
Ilikuwa ni vigumu sana, lakini nikajikuta nimeiweka. (Mpenz niliekuwanae hakuwa Whatsap) kwaiyo hapo miundombinu haikuwa migumu kwa upande wa pili.

baada ya kuona maswali na majibu yanachukua umaarufu katika conversations na ma-ex na marafiki na ndugu na jamaa, niliamua kuitoa ile picha..
Huku nikiamini nimemridhisha huyu mwanamke.,

Siku kadhaa baadae aliniambia anataka kuja dar kutafuta laptop hivyo angependa afikie kwangu na akataka nimjibu kama hilo linawezekana..
Hahahahaha..
Kwakweli lilikuwa ni swali rahisi sana zaidi ya swali la factors for rise and fall of mali empire kwenye history au lile swali la kuprove kama acceleration due to gravity = 9.8ms-1 kwenye simple harmonic motion..)
Ili kuhakikisha habadilishi mpango wake nilimwambia anitumie hiyo budget ya PC nimtafutie mwenyewe ili akija asipate shida ya kwenda kariakoo au mlimani city kabisa,

Kwakuwa binti ananiamini katika mambo mengi ya maisha alinitumia ile pesa huku nikimkoleza kwa kumuahidi kumtafutia PC adhimu..hatimae kama ndoto hivi nilimpokea binti ubungo, nikaenda nae hadi geto kwangu sinza,
Nilikaa nae kwa siku 4 ndani, yaani siku zote hizo ilikuwa ni kama ndoto kwangu aisee, nilimtafuna mtoto wa watu hadi akawa anashindwa kufumbua macho,
Yaani nilienjoy hatari, sikuwahi enjoy sex kiasi kile.
Wakati mahaba yamenoga, nikaamua kumwambia kuwa Nina mpenzi mwingine na ananitegemea na kuniamini sana,
Hakuonesha kustuka,
Akafikiria kwa muda, akaangalia picha ya mpenz wangu, akaonekana kumhurumia, akaniambia niendelee nae tu nisimuache maana yeye hawezi kuolewa na Mimi maana umri wetu ni tumekaribiana sana na amenipa penzi lake kama shukrani ya kumpenda na kumjali kwa miaka mingi.
Moyoni sikuridhika na hayo majibu yake mepesi kabisa maana aliniambia hana mtu na yupo absolutely single at the moment. (Just like a free radical)
Baada ya Siku 4 za uvunjifu wa amri ya sita nikamkatia tiketi akarudi chuo.
Baada ya hapo mawasiliano kati yetu yalishika kasi huku mwenyewe nikianza mchakato wa kuachana na huyu binti mwingine taratibu , nilitaka nimuache kwa njia nzuri ili nisimuumize kwa kuwa umri wake ulikuwa ni mdogo .

Baadae nilifanikiwa kumuacha mpenz niliekuwa nae, nikawa na huyu kwa 100% na nikaacha kila aina ya mchepuko.
Hadi sasa nipo nae yeye tu na huwa anakuja kwangu na kukaa kwa Uhuru na kuondoka Mara kwa mara, ameshahamishia nguo na baadhi ya vitu vyake kwangu.

Tatizo ni Hili,
Amekuwa na watu kadhaa kabla yangu ,
Ingawa hilo sio tatizo sana,
Kuna wakati nimemuona akichati na mwanaume mwingine wakisifiana sana na anaenda mbali zaidi akidai bado anamkumbuka sana , nilipomuuliza akaniambia huyo ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza,
OMG, nikikereheka na nikampa adhabu Kali ya kisaikolojia iliyomfanya alie mbele yangu hadi nikajikuta nimemsamehe..

Tatizo lingine huyu mwanamke,
she isn't proud of me yet, hanitambulishi kwa rafiki zake freely kama mimi ninavyomtambulisha yeye,
na huwa haoneshi kuumia, hata nikimwambia Leo tuachane yupo tayari..
Nilijaribu kuzungumza nae kuhusu hili akaniambia niwe huru tu kutafuta mwanamke mwingine ikiwa naona yeye hanifai,
Je ni kweli wanawake humuacha mwanaume kirahisi hivyo?

Mara zote ananiambia ananipenda sana but hana wivu na Mimi kabisa,
Ikiwa anawafahamu baadhi ya wasichana na ma -ex wangu wanaonitaka, mmoja tupo nae group moja la Whatsap na huwa haipiti siku asinikumbuke kwa msg za mahaba , na yeye anaona hayo yote maana pia ni mamber ,ila hata haoneshi kujali..
Nimelileta hili humu jf ikiwa tunafikiria kuanza hatua za awali za ndoa mwakani Mungu akipenda.,

Naombeni ushauri wenu wapendwa, nikiwa nafahamu ni bora zaidi kuumia kwa kumpoteza mchumba kuliko kuumia katika ndoa .
Nina nafasi ya kubadilisha maamuzi for betterment of my future.
Je , Huyu mwanamke ananifaa?
Mrejesho :
Habari za wakati huu wana Jamvi, natumani mu wazima wa afya iliyo njema.
Miaka inakimbia sana na katikati ya mbio hizo wenzetu wengi wanachoka na kuanguka njiani. Kama mimi na wewe tu wazima hata sasa basi Litukuzwe Jina lake Mungu.
Miaka kadhaa iliyopita niliwasilisha kisa hiki humu nikiomba ushauri na nasaha za wajuvi na wazoefu wa mambo ya mahusiano, na nashukuru sana kwani nilipata kushauriwa kwa namna tofauti na wasomaji na wadau wa jukwa hili pendwa; na nimeona nitakuwa mchoyo wa fadhila ikiwa sitarejea kuwajuza yaliyojiri baada ya hayo yote.
Mrejesho ni kuwa ; baada ya yote yaliyojili nilifanya maamuzi na kumwoa huyu Mwanamke, ambapo tangu tuoane ni miaka mitano imepita , na Tulifunga ndoa Takatifu ya Kikristo. Mungu mwema,amenizalia vijana mahiri wawili, (vijana machachari sana)
Nimeshampa maua yake na bado naendelea kumpa.
Mengine yote ilikuwa ni mambo ya ujinga tu wa ujana, niseme tu kwa Huyu mwanamke mimi kama mwanaume nimeridhika nae na maisha yangu kwa ujumla yamekuwa bora zaidi baada ya kuwa kwenye ndoa.
Kuna baadhi ya mambo wakati wa uchumba nilikuwa naona kama siridhiki nayo (mfano: kuona kama vile hana wivu na mimi ) baada ya ndoa niligundua ni mambo mema mno, ni strength to my mariage life big time.

Na pia niligundua si kama hakuwa na wivu kama nilivyodhani, ila ni calibre yake. Si mtu wa kuhangaika na small details kwenye mahusiano. Zaidi ya yote , hali yake hii imenipa uhuru, ananiamini, ananijali, anawajibika kwa watoto, ananishauri, hana mambo mengi kabisa, hana makundi, Kwa Ujumla ni mtu mwema sana na hali hii binafsi inanipa utulivu wa akili kama kichwa cha familia nifikirie na kuamua kesho yake na watoto. .
Pia nimekuna kugundua kuwa kila mahusiano yana namna yake ya kuenenda nayo, na ndivyo ilivyo kwa kila ndoa .Ni unique kwa namna moja au nyingine.
Maisha ya mahusiano kamwe sio one size fits all. wanadamu wana personalities unique na tofauti kabisa na handling ya kila mahusiano iko unique vile vile.
Ushauri. Kijana ukipata mwanamke ukaona nafsi na moyo wako una amani fanya kweli, wachana na wapumbavu wanaokataa ndoa.
Ndoa inakupa heshima. Inakufanya uwe responsable. Uwe na mipaka (kwa wale wala bata)
Zaidi ya yote inakupa sababu ya kujituma zaidi na kuwa na juhudi za kukua kimwili, kiroho na kiuchumi.
Asanteni sana na Mungu awabariki.
 
Binafsi iko hivii achana na huu ushauri wa jf angekua hahitaji kuwa na wewe msingefika hapo mlipo
Beba beba maushauri ya hawa watu wewe umewapa story ya vitu vichache ambavyo kimsingi vinavumilika kama utajiamini.
Tatizo lako hujiamini na umekutana na mtu dont care sasa unaumia wewe instead of yeye.
Enjoy mapenzi yenu fikiria kujiboresha wewe na mwenzi wako instead of kuanza kuwaza kwanini hakutambulishi kwa rafiki zake.
Jikubali,jiangalie wewe na moyo wako furaha yako na amani yako hutaishi na hawa wana wajf wanaokushauri ilimradi tuu. Wewe ndio unajua unachokitaka na kinachokufaa zaidi .
Hakika, ushauri wako ulikuwa mbele ya wakati. Barikiwa.
 
Oa mtu ambae anaogopa kukupoteza, hapo mtakua on the same page.. Lakini kama uwe nae usiwe nae yote sawa, believe me.. Hayupo kwa ajili yako. Inabidi mtegemeane, na pia kwenye mapenzi kama bado una nafasi ya kupata mtu ambaye hakupi stress yani ukiwa nae unarelax.., why kujitaftia pressure mwenyewe? Huyo dada atakupa pressure coz unampenda sana [emoji20]
Sentensi ya kwanza kabisa ina maana kubwa mno.
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
😂😂😂😂 huu mjibu nimeupenda, kweli wewe who cares huna kona kona tit for tat
 
Habari za wakati wana jf.
Naomba ushauri wenu tafadhari.

Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa ninaishi dar, elimu yangu ni chuo kikuu, Nina kazi na kipato changu ni cha wastani.

Katika maisha yangu, nilimpenda msichana mmoja wakati nipo kidato cha tano,
Yeye wakati huo alikuwa kidato cha nne,
Kwa ufupi, ni msichana mweupe, msafi, mrefu wa wastani , ana staha, ni mzuri, ana shape nzuri kiasi kwamba wanaume wengi huvutiwa kuwa nae.
Ni msichana ambaye tumetoka kijiji kimoja, kwa umri nimemzidi mwaka mmoja, amemaliza chuo mwaka huu maana alisoma diploma kwanza, (another story though..)

nilianza kumtaka kimapenzi huyu binti tangu wakati huo, Mimi nilikuwa nasoma shule ya Wavulana na yeye alikuwa shule ya mchanganyiko..
Nilitamani sana kuwa nae, kuna wakati alinikubali, lakini haikudumu kwa muda aliniambia haoni nafasi yangu moyoni mwake,
Nilijitahidi sana kuubadilisha moyo wake, nilijitoa kwake Mara nyingi na kwa mengi sana, lakini haikufaa, japo alikuwa akinifariji kuwa kama imepangwa awe wangu atakuwa tu..
Ni Mara mbili alinikubalia na mwenyewe akaniacha
Wakati huo Mimi pia nilibahatika kupendwa na wasichana wengine, nikatoka nao japo bado sikuamini kama naweza kuishi bila yeye.
Na pia yeye kuna wakati nilishuhudia akiwa na mahusiano na vijana wengine , iliniuma kweli na nilipojaribu kuachana nae haikuwa rahisi kabisa kwangu.
Nilipokuwa chuo nilikuwa namtembelea Mara kwa Mara(tulikuwa vuo tofauti vilivyopo mji mmoja) , japo yeye kunitembelea ilikuwa hadi nimlazimishe, au awe na shida binafsi.
Baada ya Kumaliza chuo niliondoka nikamuacha yeye bado yupo chuo na kwa hapo mawasiliano baina yetu yalififia,
Japo sikumsahau ila nilijisemea moyoni kuwa sio lazima niwe na yeye maana huku mtaani wanawake ni wengi sana na wengine wananitaka tena kwa kunitongoza.
Nilijichanganya na wanawake wengine japo nilijitahidi kuwa makini kulinda Afya na heshima yangu kwa ujumla.

Baada ya siku na miaka kadhaa kuenda hatimaye nilipata binti mwingine aliyenipenda sana, kuna wakati alikuwa hadi ananikera, maana haishi kunisumbua kwa simu na meseji hata nikiwa kazini au kanisani..
Kwakweli nilijiaminisha kuwa huyu ndiye niweke malengo nae, kwa pamoja tulifurahia sana mahusiano yetu..

Lakini wakati wote huo sikuweza kumsahau X wangu pamoja na kuwa na huyu binti mpya.
Ilikuwa tunakumbukana japo Mara moja kwa mwezi.

Sasa ilifika wakati huyu X niliyemtafuta kwa miaka bila success akaniuliza kama bado nampenda;
Kwakweli nilifikiria sana ila nikaja na jibu moja kuwa 'NDIO' (stupid udhaifu wa wanaume tulio wengi)
Akanitumia picha moja tuliyopiga pamoja zamani sana akaniambia niiweke profile ya Whatsap..
Ilikuwa ni vigumu sana, lakini nikajikuta nimeiweka. (Mpenz niliekuwanae hakuwa Whatsap) kwaiyo hapo miundombinu haikuwa migumu kwa upande wa pili.

baada ya kuona maswali na majibu yanachukua umaarufu katika conversations na ma-ex na marafiki na ndugu na jamaa, niliamua kuitoa ile picha..
Huku nikiamini nimemridhisha huyu mwanamke.,

Siku kadhaa baadae aliniambia anataka kuja dar kutafuta laptop hivyo angependa afikie kwangu na akataka nimjibu kama hilo linawezekana..
Hahahahaha..
Kwakweli lilikuwa ni swali rahisi sana zaidi ya swali la factors for rise and fall of mali empire kwenye history au lile swali la kuprove kama acceleration due to gravity = 9.8ms-1 kwenye simple harmonic motion..)
Ili kuhakikisha habadilishi mpango wake nilimwambia anitumie hiyo budget ya PC nimtafutie mwenyewe ili akija asipate shida ya kwenda kariakoo au mlimani city kabisa,

Kwakuwa binti ananiamini katika mambo mengi ya maisha alinitumia ile pesa huku nikimkoleza kwa kumuahidi kumtafutia PC adhimu..hatimae kama ndoto hivi nilimpokea binti ubungo, nikaenda nae hadi geto kwangu sinza,
Nilikaa nae kwa siku 4 ndani, yaani siku zote hizo ilikuwa ni kama ndoto kwangu aisee, nilimtafuna mtoto wa watu hadi akawa anashindwa kufumbua macho,
Yaani nilienjoy hatari, sikuwahi enjoy sex kiasi kile.
Wakati mahaba yamenoga, nikaamua kumwambia kuwa Nina mpenzi mwingine na ananitegemea na kuniamini sana,
Hakuonesha kustuka,
Akafikiria kwa muda, akaangalia picha ya mpenz wangu, akaonekana kumhurumia, akaniambia niendelee nae tu nisimuache maana yeye hawezi kuolewa na Mimi maana umri wetu ni tumekaribiana sana na amenipa penzi lake kama shukrani ya kumpenda na kumjali kwa miaka mingi.
Moyoni sikuridhika na hayo majibu yake mepesi kabisa maana aliniambia hana mtu na yupo absolutely single at the moment. (Just like a free radical)
Baada ya Siku 4 za uvunjifu wa amri ya sita nikamkatia tiketi akarudi chuo.
Baada ya hapo mawasiliano kati yetu yalishika kasi huku mwenyewe nikianza mchakato wa kuachana na huyu binti mwingine taratibu , nilitaka nimuache kwa njia nzuri ili nisimuumize kwa kuwa umri wake ulikuwa ni mdogo .

Baadae nilifanikiwa kumuacha mpenz niliekuwa nae, nikawa na huyu kwa 100% na nikaacha kila aina ya mchepuko.
Hadi sasa nipo nae yeye tu na huwa anakuja kwangu na kukaa kwa Uhuru na kuondoka Mara kwa mara, ameshahamishia nguo na baadhi ya vitu vyake kwangu.

Tatizo ni Hili,
Amekuwa na watu kadhaa kabla yangu ,
Ingawa hilo sio tatizo sana,
Kuna wakati nimemuona akichati na mwanaume mwingine wakisifiana sana na anaenda mbali zaidi akidai bado anamkumbuka sana , nilipomuuliza akaniambia huyo ndiye alikuwa boyfriend wake wa kwanza,
OMG, nikikereheka na nikampa adhabu Kali ya kisaikolojia iliyomfanya alie mbele yangu hadi nikajikuta nimemsamehe..

Tatizo lingine huyu mwanamke,
she isn't proud of me yet, hanitambulishi kwa rafiki zake freely kama mimi ninavyomtambulisha yeye,
na huwa haoneshi kuumia, hata nikimwambia Leo tuachane yupo tayari..
Nilijaribu kuzungumza nae kuhusu hili akaniambia niwe huru tu kutafuta mwanamke mwingine ikiwa naona yeye hanifai,
Je ni kweli wanawake humuacha mwanaume kirahisi hivyo?

Mara zote ananiambia ananipenda sana but hana wivu na Mimi kabisa,
Ikiwa anawafahamu baadhi ya wasichana na ma -ex wangu wanaonitaka, mmoja tupo nae group moja la Whatsap na huwa haipiti siku asinikumbuke kwa msg za mahaba , na yeye anaona hayo yote maana pia ni mamber ,ila hata haoneshi kujali..
Nimelileta hili humu jf ikiwa tunafikiria kuanza hatua za awali za ndoa mwakani Mungu akipenda.,

Naombeni ushauri wenu wapendwa, nikiwa nafahamu ni bora zaidi kuumia kwa kumpoteza mchumba kuliko kuumia katika ndoa .
Nina nafasi ya kubadilisha maamuzi for betterment of my future.
Je , Huyu mwanamke ananifaa?
Ukimuoa tu huyo mwanamke umekwisha. Kuna mwanamke wa kuoa na mwanamke wa kuwa mchepuko life liende. Huyo ni wa kuwa mchepuko. Tambua tofauti
 
Back
Top Bottom