Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

Hapo hupendwi hata kidogo, anachokifanya mwenzio amekufanya km daraja la kuvukia mto.
Akipata mtu anayempenda lazima akuache, hata ukimuoa utagongewa sana, utajikuta unalea watoto sio wako.
Jins mapenzi yanavyouma hivyo, hata mwenzako hashituki. Una kazi ya ziada.
Ulifanya makosa sana kumuacha huyo binti, huyo ndio alikuwa ndio mke wako. Mwanamke anayekupenda kwa dhati hachoki kukusumbua kweny simu, hata km usiku wa 8 atakupigia.
Ww endelea kuchenguka na weupe wake tu.
Pole sana, ukiona hata haulizwi, jipe pole sana.
Kiufupi hapo umeingia choo cha kike, hauna mke
Wakati mwingine, Mungu hutupa wake au waume pasipo kumuomba lkn kutokana na akili zetu zilizovyo finyu, tunawaacha na kwenda kwingine.
Haya ndio madhara yake. Ukipata mtu anayekupenda, mpende na mshikirie.
Mkuu, huo ndio mzigo wako, ww ubebe tu hata km wa Ma..vi ndio uliouchagua.
Yule uliyemuacha ndio alikuwa mkeo. Pole sana
 
Labda nitoe angalizo,
Watu mnaonitupia vijembe humu hamnitendei haki kabisa,
Ndio maana nmeomba ushauri wenu pia niamue what to do,
Haya yangu sio mapya sana kwenye jamii na maisha yetu, kuna watu yamewakuta zaidi ya haya. Mimi kwa upande wangu sioni kama nimekosea sana maana sijamuoa bado..

But nashukuru kwa ushauri wenu wakuu..
Exactly....
 
Nakuelewa, unapopenda unakuwa kipofu, huoni wala huambiwi na mtu. Yote hayo umeyafanya (kuweka pp whatsapp, kurudiana nae) huku ukijua kabisa she's not into you lakini ukajipa moyo kuwa "maybe this time". Umefanya vizuri kuomba maoni ya watu humu, hakuna mwanamke atakayekupenda akakufanyia mambo ya namna hiyo. You're her last choice, a punching bag, a spare tyre etc. Once matatizo yake yakiisha, atarudi alikotoka.

Don't waste your precious time and energy, after all you still have time, at 28yrs you don't need to be desperate for a fiancee.
ushauri naupa ***** (5 stars) ... Mkuu chukua ushauri huu usave mbele kabisa ya ubongo wako!
 
Mkuu authentic05 unapokuja kutuuliza sisi huku kama mwanamke fulani anakufaa au hakufai unakuwa unakosea sana maana wewe ndio mwenye uhitaji wa mke na nia ya kuoa hali kadhalika pia wewe ndio unayejua sifa za mwanamke umtakaye. Sasa ukija kutuuliza sisi huku unategemea tukujibu nini?

Mpime wewe huyo mwanamke kwa sifa na vigezo ambavyo wewe umeviweka au ambavyo unatamani mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wako awe navyo. Kama ana sifa au vigezo ambavyo wewe unavitaka basi ujue huyo anakufaa. Na kama basi ujue huyo hakufai na unapaswa kuachana naye haraka iwezekanavyo.
Mkuu Young master,
Sidhani kama ni kosa kuja kuuliza wakongwe humu,
I am just a human , I am weak somewhere like you and all men, ingawaje Nina sababu za kujiona shujaa kwa kuweka hadharani madhaifu yangu ili nipewe ushauri,
Wengi wetu Men hujitia wajuaji na Kuvumilia maumivu kimyakimya huku tukipretend kama vile things are right.mwishowe stress, free radicals zinazalishwa kwa wingi kwenye mzunguko wa damu, mtu anazeeka na kufa kabla ya wakati,
Mimi sioni tatizo kupata uzoefu juu ya haya mambo kabla ya kuamua .
Nimeomba tu ushauri na sio nimeomba nipangiwe la kufanya.
Thanks for your concern anyway.
 
Mkuu Young master,
Sidhani kama ni kosa kuja kuuliza wakongwe humu,
I am just a human , I am weak somewhere like you and all men, ingawaje Nina sababu za kujiona shujaa kwa kuweka hadharani madhaifu yangu ili nipewe ushauri,
Wengi wetu Men hujitia wajuaji na Kuvumilia maumivu kimyakimya huku tukipretend kama vile things are right.mwishowe stress, free radicals zinazalishwa kwa wingi kwenye mzunguko wa damu, mtu anazeeka na kufa kabla ya wakati,
Mimi sioni tatizo kupata uzoefu juu ya haya mambo kabla ya kuamua .
Nimeomba tu ushauri na sio nimeomba nipangiwe la kufanya.
Thanks for your concern anyway.

Kuuliza si ujinga. Lakini si kila kitu kinaweza kuulizwa. Ninasema hivi kwa sababu kila mtu (mwanaume) ana sifa au vigezo ambavyo angependa mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wake awe navyo. Vigezo hivyo baadhi vinaweza vikafanana na vingine vinaweza visifanane. Hivyo ukiuliza swali kama hilo tegemea kupata majibu mengi na yenye mitazamo tofauti. Mitazamo hiyo inaweza kuwa chanya kwa upande wako lakini pia inaweza kuwa hasi.

Sasa wewe upo tayari kushauriwa kuwa mke huyu anakufaa au hakufai kwa sifa na vigezo vya mtu mwingine ambavyo amejiwekea? Maana kwa kufanya hivyo sioni tofauti na yule ambaye amechaguliwa mke na wazazi wake.
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.

Hahaha umemaliza mkuu. The best ushauri sina cha kuongezea aisee
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
1471362475154.jpg

Bonge la advise
 
Mambo mengine yanakera, ikiwa umeweza kukokotoa hizo gravity sijui factors za Mali. Inakushinda nini kuzifikiria na kuzisoma factors za huyo mwanamke wako?
 
Mpende akupendaye asiyekupenda ...... Mtimue, hakuna namna utampendaje mwanamke asiye Ku feel hataaa! Jua kua uyo bi dada anakutumia, wasichana wakiona kuna sehemu wanaweza pata afadhari ya maisha kwa wakati fulani hujikuta tu wanajiegamiza kwa muda ili siku zijazo aangalie fursa nyingine, fahamu kakangu unatumika and soon utakua expired
 
Kama huyo demu ni Female achana nae hafai kabisa mimi mwenyewe nilijiongeza baada ya kuona hana uelekeo japo ni kipozeo kizuri tu.Move on maana tamu za kibongo zipo nyingi na most of them ni pure wife material!!!!
 
usisahau kutupa kadi za kamati ukiwa tayari hapo mwakani kwa maandaliz ya hyo harusi ya mwendokasi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Asante kwa kushare,dada ameshakuambia amekuja kukupa shukrani muache aende bila ugomvi tena muache taratibu bila wewe kujiumiza wewe unapenda sana ila yeye kunamwingine anampenda zaid.relax hatuoi kwa sababu ya love tu kunamambo mengine ya msingi
 
Back
Top Bottom