Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

Huyu mpenzi wangu anafaa kuwa mke?

"enyi wapumbavu mtasitasita hata lini?" "wenye kusitasita nawachukia....". Hayo ni maneno ya Mungu ila sikumbuki namba za sura na aya. Huyo dada ni chaguo lako la kwanza, na wewe ni chaguo lake la mwisho. Wewe ndo mwenye matatizo. Anza na wewe kwanza kabla hujaoa. Mapenzi ya chatu na mbwa unayajua mwisho wake. Achana na huyo binti na wewe fanya kujitambua.
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
Umeniacha hoi hatari sana, by th wy hngr
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
Napendaga fact kama hiz Bigg up..!jamaa umebonga ukweli Salute kwako
 
Umenifanya niwazeeeeee! nisipate jibu, Hivi kwenye uhusiano bora kupenda au kupendwa? ntarudi yena badae!
 
Labda nitoe angalizo,
Watu mnaonitupia vijembe humu hamnitendei haki kabisa,
Ndio maana nmeomba ushauri wenu pia niamue what to do,
Haya yangu sio mapya sana kwenye jamii na maisha yetu, kuna watu yamewakuta zaidi ya haya. Mimi kwa upande wangu sioni kama nimekosea sana maana sijamuoa bado..

But nashukuru kwa ushauri wenu wakuu..
 
Ni bora uumie kwa kumpoteza mchumba ila si ndoa aisee.
Mimi naamini kama mtu anakupenda kwa dhati lazima awe na wivu na wewe hata kidogo.
Tafakari chukua hatua.
 
achane nae! na ukija siku nyingne kuomba ushauri jifunze kwanza ingredients of
summary.
sent from SIEMENS mkonge
 
Kwanini usirudi chuo ukasome tena?...Naona umesoma chuo but hujaelimika kabisa kiasi cha kushindwa kutumia hesabu nyepesi kama za kutafuta namba inayofuata?...

Sioni ushauri wowote unaohitaji kwetu ila tambua hili..."Sio kila mwanamke ameumbwa kuwa mke wa ndoa...Wengine wameumbwa kuwasaidia wenzao walio kwenye ndoa.....Michepukoooooooo"

Yuleeee girlfriend uliyemuacha ndio "Mke wa ndoa " na huyu mtu mzima uliyenaye ndio "Mchevukooooooo"....Umeelewa wewe mtoto wa shule?...Miaka 28 unaoa unawahi nini?.....Videmu vyemnyewe ulivyoisha gonga hujazi hata basi moja la mwendo kasi...Kiherehere chako kuwahi ndoani wakati shughuli za ujana hujamaliza...Mwishowe uwasababishie watu wakose appetite ya ndoa kwa kukutazama wewe utavyokuwa unazagaa na malaya mitaani wakati una mkeo mzuri na watoto nyumbani....

By the way unaoa ushajenga?....Au unataka kuwatesa wakwe wakija kukusalimia dar uwalaze sebuleni kwenye makochi na madumu ya maji uliyojaza ndani mwako?

Elimu....Elimu....Elimuuuuu.
Asante sana,Hivi anko alisema asilimia ngapi ya wahitimu ni vilaza?
 
"enyi wapumbavu mtasitasita hata lini?" "wenye kusitasita nawachukia....". Hayo ni maneno ya Mungu ila sikumbuki namba za sura na aya. Huyo dada ni chaguo lako la kwanza, na wewe ni chaguo lake la mwisho. Wewe ndo mwenye matatizo. Anza na wewe kwanza kabla hujaoa. Mapenzi ya chatu na mbwa unayajua mwisho wake. Achana na huyo binti na wewe fanya kujitambua.
Sijui ndo huu, I wafalme 18:21a
Naye Eliya akawakaribisha watu wote, akanena, mtasita-sita katikati ya mawazo mawili hata lini? ............
 
Sina uhakika kama kweli umewahi kuwa na mahusiano mengine, labda ya kaka na dada.
 
kwa nini una haraka ya kuoa kiasi hicho. Usikurupuke mpe muda mchunguze tabia na mienendo yake mkiwa pamoja na kwa muda mrefu hata miaka. Kuna siku ukiona hawezekaniki kuolewa ndio ufanye uamuzi nachoona kwa sasa ni kwamba umeshaona mauzauza yake ila nihisi hayajakuchosha sana mpe muda utamsoma tu. Ila usikurupuke kuoa chunguza kwanza
 
Wengi huwa tunaona red flags, but huwa tunazipuuzia either kwa ujinga( kupumbazwa na mapenzi) tu au kwa kuwa ukweli ni mchungu kuumeza, so tunashindwa kukubali kuwa "HATUTAKWI". Kubaliana tu na ukweli kuwa hakutaki, afu Acha ujinga wa kuona kuwa huwezi ishi bila yeye, ni Mungu huyo? ? Sometimes maneno yetu yanazifunga mno nafsi zetu na watu fulani. Achana naye mapemaaa
 
Back
Top Bottom