Mkuu umesahau kuiweka IlboruHaya nayo mpk uje ufungue uzi jf? Umeshindwa kumface huyo H.O.S wenu?
By the way siku hizi hakuna wakuu wa shule kuna wasimamizi wa shule....Wakuu wa shule walikuwa enzi hizo bana mtu anaongoza taasisi km Mkwawa,Umbwe,Tosa,Tambaza,Minaki Pugu,Bagamoyo,Mzumbe,Mbeya Tech,Mosh Tech,Mtwara Tech huko, Utamfananisha na Mkuu wa Majani ya Chai sekondari sijui Msongola sec sijui Namanyele day ss hahahahahaaa
Hapana asiame shule kisa ujinga wa Mkuu wa shule ,wawaone viongoz wa serikali ya wanafunz na viongoz wa vikund vya dini ili mshaur Mkuu wenu wa shule,au muandike waraka ,na akikataa muende wanafunz wote muongea naye!Hama shule tu mkuu mbona simpo sana?
Nenda kwingine, maisha yenyewe mafupi afu mkuu wa shule akuzingue inakuwaje wafikiri,? Ebo
Mm naona anaitaji kua chini ya mtu yaan yy asiwe ndo top.ila wamwache huko huko secondary. Labda awe mwalmu wa nizam au taaluma .naisi atafanya vizur sana,kingne nais hashaurik yy anajiona ndo mwsho na ndo mwanzo ,ndo maana mnalalamika huko.ila pia lazma msimame imara maana shule sio yake ni Mali ya uma.asije akaiendesha kama mji wakeMkuu wenu wa shule alipaswa ashushwe kufundisha Shule ya Msingi. Maana kwa hapo Sekondari amepwaya sana.
Huo uoga unawafundsh madogo ,wakomae hapo hapo tz sec.kwan huyo Mkuu wao kaijenga iyo shule ya tz ? Wakomae naye tuu kama wanaisi kuna KTU sicho anakifanya,kwa nn ukimbie tatzo ??Hamia Kenya sekondary school au Uganda secondary school. Hizo shule zinajitahid kidogo.
Bas tatzo itakua walimu wanao mshaur yaan walim wa nizam na walim wengne yy akifanya fyongo wanampongeza kwa kla ktu anachokifanya ikiwepo hizo suspension za moja kwa moja ..Bora bodi ya shule ingehusishwa katika suspension hizo,na sio suspension in such anawasuspend kabisa wanafunzi hata kwa makosa madogo tu na hakuna wa kumuuliza na hachukuliwi hatua sijui kwann!
[emoji17] niamini dady,naongea ukweli mtupu!Shule ya kwanza madai yalikuwa hayo na huku nilikokuhamishia nako ni hivi hivi we mtoto umenishinda
[emoji15] asante kunitunuku,ila bado nasoma!Lakini huu mwandiko wako sio wa mwanafunzi. Wewe utakuwa mwalimu mkongwe hapo shule
[emoji23] [emoji23] [emoji23] una maudhi wewe!Mkuu umesahau kuiweka Ilboru
Ushauri mzuri!Mm naona anaitaji kua chini ya mtu yaan yy asiwe ndo top.ila wamwache huko huko secondary. Labda awe mwalmu wa nizam au taaluma .naisi atafanya vizur sana,kingne nais hashaurik yy anajiona ndo mwsho na ndo mwanzo ,ndo maana mnalalamika huko.ila pia lazma msimame imara maana shule sio yake ni Mali ya uma.asije akaiendesha kama mji wake
Mwalimu mkuu wa Tanzania sec hataki kufanya kaz kwa ushirikiano na kamati ya shule. Unategemea nni hapo?Huo uoga unawafundsh madogo ,wakomae hapo hapo tz sec.kwan huyo Mkuu wao kaijenga iyo shule ya tz ? Wakomae naye tuu kama wanaisi kuna KTU sicho anakifanya,kwa nn ukimbie tatzo ??
Tunafungua tar9 mkuu,hutatuona tena humuHivi shule zishafungwa? Tuko na watoto wetu humu
Ila itakuwa kweli mwanangu..basi likizo njoo nyumbani mkifungua shule ntakupa hela uchukue chenga za mkaa gunia 2 tuone uyo teacher jiwe kama atavumilia moto..huyu mwalimu kichwa kibaya na roho ni mbaya[emoji17] niamini dady,naongea ukweli mtupu!
Sawa baba,asante!Ila itakuwa kweli mwanangu..basi likizo njoo nyumbani mkifungua shule ntakupa hela uchukue chenga za mkaa gunia 2 tuone uyo teacher jiwe kama atavumilia moto..huyu mwalimu kichwa kibaya na roho ni mbaya