Huyu mkuu wetu wa shule vipi?

Huyu mkuu wetu wa shule vipi?

Haya nayo mpk uje ufungue uzi jf? Umeshindwa kumface huyo H.O.S wenu?
By the way siku hizi hakuna wakuu wa shule kuna wasimamizi wa shule....Wakuu wa shule walikuwa enzi hizo bana mtu anaongoza taasisi km Mkwawa,Umbwe,Tosa,Tambaza,Minaki Pugu,Bagamoyo,Mzumbe,Mbeya Tech,Mosh Tech,Mtwara Tech huko, Utamfananisha na Mkuu wa Majani ya Chai sekondari sijui Msongola sec sijui Namanyele day ss hahahahahaaa
Kwa maelezo uliyoyaandika ni ushahidi tosha hujaelewa maana iliyo nyuma ya uzi huu.

Jaribu kukumbuka vipengele vya fasihi huenda utapata mwanga.
 
Bora bodi ya shule ingehusishwa katika suspension hizo,na sio suspension in such anawasuspend kabisa wanafunzi hata kwa makosa madogo tu na hakuna wa kumuuliza na hachukuliwi hatua sijui kwann!
Samahani mkuu swali liko nje ya mada , grade za sasa za o level zikoje yan A ni ngap mpaka ngap had F
 
mtu akitimiza wajibu wake anaitwa mnoko
akizembea ana itwa jipu
Too much is harmful mkuu! Basi hawa walimu wengine wafutwe kazi wote abaki yeye tu au wafutwe madaraka yao,ingefaa makamu wa shule akae sehemu yake,mwl wa ulinzi,mwl wa afya,mwl wa miradi nk wote wafanye kazi zao kwa Uhuru km kuna sehemu ya kuongea,kuonya nk ahusike mwny kitengo
 
Na matokeo ya mitihani si pia unashuhudia jinsi shule inavyodorora?
Hata wanaotaka kuja na kuweka pesa zao ili maendeleo yawe mazuri zaidi wanaghairi, na waliopo wanafunga virago, maana mwalimu mkuu haeleweki ati!
Hakika mkuu! Zamani tulikua na raha sana hapa kipindi nahamia nilikuta wanafnz wanalala mazngira mazuri,kula vizuri,vitabu vipo,meza,vifaa vya kujifunzia na kufundishia,kemikali za maabara nk ambapo niliambiwa wahisani walikuja Mara kwa Mara kuleta kemikali na vifaa lakini sahivi hatuoni mpaka majaribio tunaanza kufanya kwa maneno(theory)[emoji26] [emoji26] sijui kapatwa na nn jamanii!
 
Mkuu wa shule akijichimbia ofisini maneno,akisema hataki mwaliko/safari mnasema mkuu anaogopa kwenda kwenye shule Za jirani kwa sababu ya hajui lugha ya malkia. Mwalimu mkuu akisafiri mnasema anazurura tu bora amtume mwalimu wa taalum. Ebu tumuache mwalimu mkuu afanye kazi maana ata sisi wanafunzi hatujui tunachotaka mwalimu afanye
Mmmmh!
 
Samahani mkuu swali liko nje ya mada , grade za sasa za o level zikoje yan A ni ngap mpaka ngap had F
Mmmh! Zimebadilika Mara kwa Mara mpaka sielewi hebu angalia kwenye wavuti wa wizara,nimekupa vigezo vya kwenda advance kesho usijeuliza tena
IMG-20180323-WA0005.jpg
IMG-20180323-WA0006.jpg
 
Dongo dongo la ngosha hili hakika limemfikia aache ubinafsi wa kupenda kuonekana yeye peke yake kama hana viongozi wa chini yake
 
Shule ya kwanza madai yalikuwa hayo na huku nilikokuhamishia nako ni hivi hivi we mtoto umenishinda
 
Back
Top Bottom