So tupo duniani kwa ajili ya mimea au mimea ipo kwa ajili yetu?Mimea inanufaika kuwepo na Viumbe Duniani tunatumika kusambaza Makokwa na Mbegu na hapo hapo vinyesi vyetu ni mbolea kwa hiyo Mimea.
Pia tunatumikishwa kwa kupewa Nectar za Sukari na Chakula.
TunategemeanaSo tupo duniani kwa ajili ya mimea au mimea ipo kwa ajili yetu?
Ndio tunategemeana na hii Bond tiliingia miaka milioni nyingi huko nyuma.So tupo duniani kwa ajili ya mimea au mimea ipo kwa ajili yetu?
Ok good but swali la huyu mwamba lilikuaa ni kuhusu viumbe wote kwa ujumla wake kwamba sisi wanyama mimea nakadhalika. Nani ananufaika na uwepo wetu juu ya uso wa dunia?Ndio tunategemeana na hii Bond tiliingia miaka milioni nyingi huko nyuma.
MuumbajiNani ananufaika na uwepo wetu sisi wanyama pamoja na mimea
Jibu ni rahisiAnaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.
Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Tukifikiria kuwa nani katuwekea haya mazingira mfano hewa za oksijeni na nitrogeni na carbon inaonyesha haya mazingira yamewekwa na Entity's fulani, lakini sidhani kama hiyo Entity's au Entity ina nufaika na chochote juu ya uwepo wetu.Ok good but swali la huyu mwamba lilikuaa ni kuhusu viumbe wote kwa ujumla wake kwamba sisi wanyama mimea nakadhalika. Nani ananufaika na uwepo wetu juu ya uso wa dunia?
Anajua yeye shida mie sio muumbaji siwezi jua anafaidika na niniAnanufaika vipi?
So we are useless to them?Tukifikiria kuwa nani katuwekea haya mazingira mfano hewa za oksijeni na nitrogeni na carbon inaonyesha haya mazingira yamewekwa na Entity's fulani lakini sidhani kama hiyo Entity's au Entity ina nufaika na chochote juu ya uwepo wetu.
Labda kutuangalia tu kama ZOO.
Kwa sababu najua hakuna jambo linalokua bila sababu ,kisichokua na sababu hakiwezi kikawepoSasa kwanini uusemee moyo wa mwingine?