Huyu mke vp?

Huyu mke vp?

sasa kama huachi hela ya matumizi atakupaje KIKAPU CHA MANYOYA
 
Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.

Sina muda wa kufanya yote hayo. Kimpango wake. Ukisikia ubwege,Hapo ndipo ubwege unapoanzia!
 
Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.


nimekupenda bure, like like like zote zako mkuu
 
Elimu haina mwisho, soma vitabu vinavyoelimisha masuala ya ndoa na ni vyema ukawaona washauri wa masuala ya mahusiano.
 
Elimu haina mwisho, soma vitabu vinavyoelimisha masuala ya ndoa na ni vyema ukawaona washauri wa masuala ya mahusiano.
Haswa! Mimi nilisoma vitabu vitatu vya dini kuhusu mambo ya ndoa. Hapa nimemdesea baadhi tu ya mambo!
 
sina muda wa kufanya yote hayo. Kimpango wake. Ukisikia ubwege,hapo ndipo ubwege unapoanzia!

dedication.
ukiwa unaonaeeeeh elimu ni ghali basi jaribu ujingaaaaa
(rudia tena na tena hadi upate usingizi) kwi kwi kwi
 
Duuu!!!!!!!majanga ongea na mkeo uelewe tatizo ni nini?maongezi ndo ufunguo wa kila kitu
 
yani usifanye hivyo tafuta tatizo ni nini kwa nini ataki umgegede yawezekana ushiki anapotaka..... uanaweza tafuta mwingine kumbe wewe ndo unatatizo ukazidi kujidhalilisha kwa hao wa nje..
wanawake bana,sasa hashiki anapotaka kwani atajuaje bila kuambiwa kuwa nifanye hivi?
 
Sina muda wa kufanya yote hayo. Kimpango wake. Ukisikia ubwege,Hapo ndipo ubwege unapoanzia!
aahahahaha,umeona eeh,yaani kama mtu unafanya mtihani wa cambridge bana,dah?..sijui pumua kidogo kisha mguse kwenye naniliu kwa sekunde tano kisha teremsha mkono hadi uelekeo wa nyuzi 60,damn!
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?

Nyumba ndogo,Bar Made,Wanafunzi wa Chuo,wafanyakazi
 

duuuh!!kuna sababu hapo
huenda kuna kinachomkera mkeo
kaa nae muulize taratibu,wala
haina haja ya nyumba ndogo,huwezi kutatua
tatizo kwa kuongeza matatizo!!
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
Jamani tunavyowatafuta wanaume wa kutuoa huyo mwanamke vipi
 
Huko nyuma hali ilikuwaje???
Usijaribu kutoka nje ya ndoa kwani utakuwa umeondoa tatizo kwa kuongeza tatizo...kaa chini na mkeo ongea nae kwa upendo ujue tatizo liko wapi....
Wewe ni kichwa cha familia yako....
Kata ukimya sasa.
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
No consumation, no marriage.
File divorce.
 
we ni nani hasa wa kunpangia cha kuandka?? Nimepewa onyo ya ban so usitake niikose jf.mind your own f*king biznes.
unapopewa onyo unatakiwa kubadilika na ujifunze kukubali mawazo tofauti na unayo tegemea.
 
Back
Top Bottom