mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
amuulize mwenzie....!
usimfundishe huyo huwa tunafanyaje?
amuulize mwenzie....!
Hayatuhusu. This is your private business.
Mke ni zaidi ya unyumba!
Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).
Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....
Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.
Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".
Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!
Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!
Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).
Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".
Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.
Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!
Mengine siwezi kuandika hapa!
Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.
usimfundishe huyo huwa tunafanyaje?
Mke ni zaidi ya unyumba!
Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).
Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....
Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.
Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".
Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!
Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!
Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).
Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".
Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.
Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!
Mengine siwezi kuandika hapa!
Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.
Haswa! Mimi nilisoma vitabu vitatu vya dini kuhusu mambo ya ndoa. Hapa nimemdesea baadhi tu ya mambo!Elimu haina mwisho, soma vitabu vinavyoelimisha masuala ya ndoa na ni vyema ukawaona washauri wa masuala ya mahusiano.
sina muda wa kufanya yote hayo. Kimpango wake. Ukisikia ubwege,hapo ndipo ubwege unapoanzia!
wanawake bana,sasa hashiki anapotaka kwani atajuaje bila kuambiwa kuwa nifanye hivi?yani usifanye hivyo tafuta tatizo ni nini kwa nini ataki umgegede yawezekana ushiki anapotaka..... uanaweza tafuta mwingine kumbe wewe ndo unatatizo ukazidi kujidhalilisha kwa hao wa nje..
aahahahaha,umeona eeh,yaani kama mtu unafanya mtihani wa cambridge bana,dah?..sijui pumua kidogo kisha mguse kwenye naniliu kwa sekunde tano kisha teremsha mkono hadi uelekeo wa nyuzi 60,damn!Sina muda wa kufanya yote hayo. Kimpango wake. Ukisikia ubwege,Hapo ndipo ubwege unapoanzia!
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
Jamani tunavyowatafuta wanaume wa kutuoa huyo mwanamke vipiHivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
No consumation, no marriage.Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
unapopewa onyo unatakiwa kubadilika na ujifunze kukubali mawazo tofauti na unayo tegemea.we ni nani hasa wa kunpangia cha kuandka?? Nimepewa onyo ya ban so usitake niikose jf.mind your own f*king biznes.
ndio wewe je?