Huyu mke vp?

Huyu mke vp?

Simchezo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
463
Reaction score
374
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
 
Labda humuandai au kwa kuwa maisha si mabaya kiuchumi basi full kumpondea oohh kwenu hivi vipo?unafikir atakuwa na aptite na wewe?au labda hujajiweka kwenye mazingira mazuri ya kumvutia like kunukia vizuri kuwa smart e.t.c but all in all we na mkeo ndo the source so tafuta muda akiwa yuko kwenye mood umuulize kulikoni na nadhani kama hana tatzio la akili atafunguka tu mkuu all the best.ila nimeipenda avatar yako kwa kweli.
 
achana nae,tafuta atakayekuwa tayari kukutimizia haja zako.

yani usifanye hivyo tafuta tatizo ni nini kwa nini ataki umgegede yawezekana ushiki anapotaka..... uanaweza tafuta mwingine kumbe wewe ndo unatatizo ukazidi kujidhalilisha kwa hao wa nje..
 
Dawa ni kuji RE PACKAGE hadi aone iko namna!

Ukishinda nae unavaa miboxer ya babu, mizeeeee! Ukiwa unatoka unatinga kitu white, perfume mpaka kwa babu, unashave, afu unakuwa na kimuhe muhe kama vipi unamuuliza hapa vipi nauza eeeh! Huyo unaanza kurusha roho tu, afu unaenda zako bar!
 
Jaribu kungea naye tatizo ni nini pengne kuna kitu umemuudh so ana donge moyon
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?

Mlolongo? Kwa mkeo kaka? Angalia mambo haya:

  • Kama kuna ugomvi wa aina yoyote ndani ya nyumba na wewe mwenyewe unavyojiweka kabla ya tukio. Pia angalia usafi wa mwili na kinywa kwa ujumla wake
  • Uwajibikaji wako kitandani, unajitosheleza?

Kama hayo ya juu yako sawa, kuna baadhi ya wanawake huwa wanahitaji vichocheo kukaa sawa. Mtengenezee mazingira tangu asubuhi kwa kumuweka karibu kwa namna zote, kwa kifupi tumia ubunifu na ushawishi wako uliotumia wakati unamtafuta kwa mara ya kwanza, ikifika jioni kaa naye kwenye mazingira na kipindi hiko mpeane maneno mazuri atakaa kwenye laini na kukutafuta mwenyewe.
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?

Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.
 
Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.

hiii inatosha na akiingia kweny mech amridhishe na mwenzie sio kushiba mwenyew na kumuacha mke ana njaa..
 
Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.

Ushaur wako mzuri
 
je awali ilikuwaje? na pia unaona mabadiliko gani ndani ya nyumba? la sivyo ndugu wanakusaidia wengine kupiga hiyo mashine, ila pole sana.
 
Mke ni zaidi ya unyumba!

Hapa ndipo wanaume wengi hukosea. Kwakuwa mnamali basi inawezekana unamkashifu mkeo kwa kumsimanga yamkini kuhusu hali duni ya familia yao (mtazamo tu).

Ukitaka kufaidi ndoa yako na hasa tunda la mti wa kati "kila siku" au siku yeyote ile upendayo...fanya hivi....

Kwanza nakupa siri kwamba wanawake waliowengi siyo malimbukeni wa kula tunda, awe ameolewa au hajaolewa. Hivyo inakubidi wewe m'ume umtayarishe mkeo kimahaba.

Epukana na lugha za maudhi, matusi, kukashifu. Epuka kugombana na watoto wenu bila sababu au tumia njia ya amani kwenye kuwakanya watoto "siyo matusi weeee".

Usiwe na dalili za uchoyo kwa ndugu zenu "pande zote mbili". Uwe ni mtu wa furaha bila matabaka kwamba akija A umenuna akija B unafurahi!

Msaidie mkeo kazi hasa ukirudi nyumbani. Hata kama haufanyi kazi basi uwepo kwenye mazingira ambayo yupo nyumbani kama ni jikoni, anafua n.k Siyo mkeo anapika wewe unaangalia TV, mkeo anafua unasoma gazeti, halafu usiku unataka tunda wakati yeye amechoka?!

Zaidi ya yote "kuweni na muda mmoja wa kulala". Yeye akitangualia kulala usimwamshe. Acha alale (imekula kwako siku hiyo).

Mkiingia kulala muda mmoja, pamoja. Usimwambie mama yoyo naomba kla tunda!!! Hapana! Mfanyie masaji ya ukweli hasa miguuni kwa nyuma na shingoni kwenye misuli ya shingo na mgongoni, pia kichwani. Usimguse kwenye whitehouse au hoteli ya watoto wakati wa masaji kwani ukimgusa atajua "lengo lako".

Ukiwa unakaribia kumaliza kumfanyia masaji rudia tena miguuni kwa nyuma huku ukigusa "kigoda" chake kwa upole.

Pumua kwa nguvu, jifanye umechoka, jiegeshe pembeni yake. Ninauhakika atakugeukia na mtacheza mpira!

Mengine siwezi kuandika hapa!

Angalizo: ukiwa mvivu kitandani "mtu wa dkk 1, huyo mama yoyo wako ataendelea kutokukupa tunda! Na hata ukienda nje bado tatizo litakuwa palepale.


Si mchezo yaani hadi raha. Wewe ni me au ke. Umemshauri vizuri sana na wanaume wengi hawajui haya afu wanakimbilia sipewi tunda.
 
Mwezi mmoja..........mnalala kitanda kimoja..........

hapo ndipo unapohusika ule wombo wa snura, majanga............, mimi mwenyewe na mamaa naipandiaga basi kuifuata, sasa yeye macho kwa macho mtu analala kavaa puchi, taiti, gagulo, track suit, hlf anajifunika blacket la HSC, sasa mpk akupe hapo.
 
Back
Top Bottom