Huyu Mfalme Charles ana dharau sana au anamaanisha nini?

mbona ni mambo ya kawaida tu ayo kwan uku bongo ni wangap unampa kitu anakupokelea kwa mkono shoto?
 
Awali ya yote Huyu Mfalme akiwa kama kiongozi mkuu na mwenye mamlaka ya kimaamuzi kwenye Jumuiya ya Commonwealth

Tunamtaka Aridhie mchakato wa Kudai Kariba mpya tupate Katiba mpya.

Au, tuondoke kwenye Jumuiya hii tupate Katiba yetu halafu ndio turudi.

Tumechoshwa kulagahiwa na hawa Wanasiasa.

Ni Kwanini nchi zilizomo katika Jumuiya hii hazijatoa "ruksa" kwa Tanzania kupata Katiba mpya? Ikumbukwe Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya bila nchi zote kwenye jumuiya kuridhia na kupewa baraka ama saini ya Mfalme Charles!

Je, ni mfalme Chalesi ndie anayetukwamisha?
mnaomba katiba kwa colonizer, bila kujua katiba mbovu inawabeba hao mabepari kupitia vibaraka wao
 
https://royalcentral.co.uk/wp-content/uploads/2022/10/CHarles-III.jpg
IMG_0448.jpeg
 
Mamayako ndie akapimwe akili. Kama hujui dynamics usiwe unakurupuka. quoma wewe.

Nenda kasome ujiridhie. Hamtaki ukweli mnaenda kutupigia sarakasi za siasa na porojo.

Again mamayako akapimwe hiyo akili manake kuachia fuvu kama lako kutoka mule ni janga kwa Taifa hili. Quama wewe.
Mbona unashindwa kuwa mbunifu hadi kwenye kutukana?
 
Awali ya yote Huyu Mfalme akiwa kama kiongozi mkuu na mwenye mamlaka ya kimaamuzi kwenye Jumuiya ya Commonwealth

Tunamtaka Aridhie mchakato wa Kudai Kariba mpya tupate Katiba mpya.

Au, tuondoke kwenye Jumuiya hii tupate Katiba yetu halafu ndio turudi.

Tumechoshwa kulagahiwa na hawa Wanasiasa.

Ni Kwanini nchi zilizomo katika Jumuiya hii hazijatoa "ruksa" kwa Tanzania kupata Katiba mpya? Ikumbukwe Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya bila nchi zote kwenye jumuiya kuridhia na kupewa baraka ama saini ya Mfalme Charles!

Je, ni mfalme Chalesi ndie anayetukwamisha?
Kumbe bado tuko chini ya mkoloni mpaka tumuombe ruhusa? Sikulijua hilo!
 
Mbona unashindwa kuwa mbunifu hadi kwenye kutukana?
Iwe wazi kwako na wengine kama wewe. Ukiingia kwenye kumi na nane za kukosa heshima. Narudisha nguvu zile zile! You entered the realm of disrespect.

Ulishindwa nini kukubali au kukataa dhana yangu?

Umechagua kunishambulia na kunikera kwa makusudi kabisa.

That is what you get, I will respond in kind to anybody doubling the disrespect, kwa sababu umeamua kuacha kanuni zote za mjadala na majadiliano. Wewe quoma hujaanza leo, narudia UKOME nakwambia tena ukome na ushike adabu. I will return the disrespect sevenfold. Uwe na heshima, kama huna jipitie-it:s as simple as that.

Ushindwe.
 
Iwe wazi kwako na wengine kama wewe. Ukiingia kwenye kumi na nane za kukosa heshima. Narudisha nguvu zile zile! You entered the realm of disrespect.

Ulishindwa nini kukubali au kukataa dhana yangu?

Umechagua kunishambulia na kunikera kwa makusudi kabisa.

That is what you get, I will respond in kind to anybody doubling the disrespect, kwa sababu umeamua kuacha kanuni zote za mjadala na majadiliano. Wewe quoma hujaanza leo, narudia UKOME nakwambia tena ukome na ushike adabu. I will return the disrespect sevenfold. Uwe na heshima, kama huna jipitie-it:s as simple as that.

Ushindwe.
You really have a calling in BROKEN English.
 
Awali ya yote Huyu Mfalme akiwa kama kiongozi mkuu na mwenye mamlaka ya kimaamuzi kwenye Jumuiya ya Commonwealth

Tunamtaka Aridhie mchakato wa Kudai Kariba mpya tupate Katiba mpya.

Au, tuondoke kwenye Jumuiya hii tupate Katiba yetu halafu ndio turudi.

Tumechoshwa kulagahiwa na hawa Wanasiasa.

Ni Kwanini nchi zilizomo katika Jumuiya hii hazijatoa "ruksa" kwa Tanzania kupata Katiba mpya? Ikumbukwe Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya bila nchi zote kwenye jumuiya kuridhia na kupewa baraka ama saini ya Mfalme Charles!

Je, ni mfalme Chalesi ndie anayetukwamisha?
Hii unaweza kuthibitisha?
 
Kumbe bado tuko chini ya mkoloni mpaka tumuombe ruhusa? Sikulijua hilo!
Uwepo wetu kwenye huu Umoja ni lazima ukubali kumtii Mfalme. "Declaring allegiance"

Kuwemo kwenye mfumo huu pamoja na kwamba wanatumia lugha ya 'ku volunteer' kuwepo ndani yake, haiondoi ukweli tunakubali kwamba yeye ndie Mfalme na tunakubali kuwa watiifu na waaminifu na kuwa tuna muunga mkono.

Labda nisingetumia neno Ruksa, ningesema ridhaa perhaps.
Ndio hivyo ishatoka hiyo
 
Back
Top Bottom