Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,950
- 54,246
Anaitwa shenkete!
Sasa mbona umewaua?Habari wakuu!!
Ni wiki sasa nipo mji mkuu wa Tanzania(Dodoma) katika harakati zangu za maisha na kutafuta riqki katika mkoa huu ulioshehedi ardhi kame.
Juzi kati hapa nikaona nimtembelee rafiki yangu wa siku nyingi ambaye yupo chuo kikuu cha Dodoma pale college of education(COED).
Katika matembezi yetu ya kuelekea Ujasi kuna ka kichaka kidogo ah nikaona wadudu waajabu kidogo na rafiki yangu huyu alishindwa kuwatambua..
Je huyu mdudu anaitwaje?
Ana sifa gan?
Kikwenu mnamuitaje?
#Tusichokijua#
View attachment 2501455View attachment 2501459View attachment 2501461View attachment 2501463View attachment 2501465
Wana mawowowo makubwaYanaitwa mang’eng’e yapo na body kubw hiv kw nyuma watu wanakula yanavotok chin kunawadudu wadg km siafu iv wakikubite unawez jikuna hadi uvimbe
Wewe unazungumzia mchwa wanaobadilika na kuwa kumbikumbi.Duh mkuu umenikumbusha mbali sana sisi kwetu huko ruvuma tunawaita mageke wanapatikana kwenye vichuguu ila wanang'ata mpk damu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio mara moja, wana mafuta mazuri sana hapo nyuma.Ah ushawai kumla
Yap ni kweli wale mchwa wanakuwa wana matumbo makubwa alafu kwa mbele meno yao ni visu wakikuuma mpk unatokwa na damuWewe unazungumzia mchwa wanaobadilika na kuwa vipepeo.
Hawa hawana shida kabisa
Baadae wanakuwa kumbikumbi nao wanaliwaYap ni kweli wale mchwa wanakuwa wana matumbo makubwa alafu kwa mbele meno yao ni visu wakikuuma mpk unatokwa na damu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app