Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Hapana huyo atakuwa ni Msukuma vigimbi vya baiskeli hivyo.Bila shaka atakua anatokea kigoma uyu cheki vigimbi kwenye miguu
Mchaga huyo. Vigimbi vya kupanda milimaBila shaka atakua anatokea kigoma uyu cheki vigimbi kwenye miguu
Ha ha ha nilikuwa nazuga huyo sio Nshoma bana, ni mimi mwenyewe Tuntufye Andendekisye MwakipesileHahaaa mwacheni Nshoma bana....mbona mmetushikia bango hivo Wasukuma
Nshoma ni jina la kihaya na wasukuma wapo wanaitwa nshoma?Hahaaa mwacheni Nshoma bana....mbona mmetushikia bango hivo Wasukuma
Nshoma ni jina la kihaya na wasukuma wapo wanaitwa nshoma?
Ooh kumbe sikujuaaYup..wapo hadi Wanamwezi waitwao Nshoma.
Ni kama Milembe tu.
Wapo Milembe walio Wahaya na wapo walio Wasukuma.
Hahaha kumbe huyu ni mnyaki eti. wallahi wasukuma mjipange, wanyaki tumekuja kuwashika, mapozi yetu yametukuka mnooooo.Hahaha, jamani pose gani hilo, akiangukaga sasa?..iiiiii!
Teh teh hilo pozi la 2 jamaniView attachment 391115 View attachment 391116
Heaven Sent atoto
Mtucheke wasukuma kwa mambo yote lakini sio ma pose. We're so creative.