Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Mkuu umesoma seminary au vp..mbona hujuagi alama za nyakati. Hamna mwanamke hapo mdangaji huyo sema anakuektia tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nmesoma story yako nmeielewa vizuri. Kiukwel najua uko kwenye situation ngumu. Najua wew bado unampenda lakin moyo ndo shida. Ilo ndo tatizo letu moja wanaume uwa tukipenda tunapenda kwel. Ila nakushauri force moyo wako hutoke kwa uyo dada. Laa sivyo Kuna mawili yatakupata either atakuwa mke mzuri au atakuwa mbaya na atakuharibia focus ya maisha ako bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Amna mwanamke apo
 
Mkuu achana na mbwiga huyo atakuchomesha wese! Mwambie apite hivi... anakupangia mtaji we umemzaaa?? Mwambie hizo conditions zaka kama donor countries akuache!
 
Na bado utamuoa tu,akili za mapenzi huwa ni ovyo Sana.
 
Back
Top Bottom