Kigilagilagatirumo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 503
- 734
Unajua kuna baadhi ya wanawake ni mashetani?,huyo anaweza akakushauri uuze hio nyumba akatafuna hio hela makusudi akiona umeyumba tuu anapita hivi bila soni yyoyote,yaan kimbiaaaaa kabisa hapo, mm nashukuru Mungu kuna ngema ilikuwa kama hiyo yako ilikuwa imejitega mahali inaangukie lkn nashukuru Mungu ameniokoa man.Huo ni moto kimbia kabisa, yani anashauri uuze nyumba kweli, kimbia huyo siyo mwanamke ana mtu wake yupo huko sema muda haujafika waonane
Right kabisa, ni kusepa tu na kukatisha hudumaUnajua kuna baadhi ya wanawake ni mashetani? Huyo anaweza akakushauri uuze hio nyumba akatafuna hio hela makusudi akiona umeyumba tuu anapita hivi bila soni yyoyote, yaan kimbiaaaaa kabisa hapo,mm nashukuru Mungu kuna ngema ilikuwa kama hiyo yako ilikuwa imejitega mahali inaangukie lkn nashukuru Mungu ameniokoa man.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bikira anaitoa wapi, huyo ni kumuachia tu....kama ulimkuta bikra na ww ndiye umemuondoa hyo bikra...keep playing that game,usimuache uyo ni wako...
Ila kama ulimkuta utepe ushakatwa don't play that dangerous game unless you're willing to loose..
Thank u, huyo nasitisha huduma mara moja kuanzia leo.. nsha amuaTemana nae.. Kama unataka uje uanze from zero muoe cha moto utakiona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpuuzi sana, ndio kashanikosa tayariFocus na mambo yako, hutakuja kujuta. Ukimsikiliza anachotaka jiandae kujuta. Mpaka hapo huyo mwanamke atakupelekesha sana mkiwa kwenye ndoa na kutekeleza vipaumbele vyake badala ya vyako.
Ni kum drop tu
Hahaaa ngoja akinitafuta ntamwambia ni lazima atasepa mwenyeweMwambie naataka uwe mama wa nyumbani mpime kwa miaka mitatu au zaidi mama house akikataa mwache aende zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hizi madelila nomaaUsisahau Samson na minguvu yake ya kuua Simba ila kwa delila hakufua dafu,jiangalie sana,unaweza jikuta umeuza nyumba na kazi umeacha,akina delila sio watu hao...
Bahatika ukutane na kina Rahel,lakini sio akina delila...utajuta maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nshakaushaaa mazimaKwa kifupi umeingia cha kike, alafu hujapata hata time ya kumfahamu bidada na kutokana na maelezo yako toka mwanzo huyo mwanamke anaonekana ni mbabaishaji tu. Tulia fanya mambo yako ikiwezekana mpotezee mazima