Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Unachotafuta utapata sio muda mrefu huyo ni mjasiriauchi sio mke wa kuoa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu huyo ni pepo kuwa makini .Mdanganye umefukuzwa kazi umpime
Dah mjinga sana, eti kuna siku anasema kama nalipwa mshahara ambao naona hautoshi niache kazi, nitafute kazi nyingine... wanawake wa dar sijui wanakwama wap... bure kabisa
 
Dah mjinga sana, eti kuna siku anasema kama nalipwa mshahara ambao naona hautoshi niache kazi, nitafute kazi nyingine... wanawake wa dar sijui wanakwama wap... bure kabisa
Huyo ni msoma ramani ,jipange maliza nyumba kwanza ,finishing sio mchezoo
 
mtafute leo, jifanye uko kwa mudi mbaya sana... na mwambie huna kazi na nyumba yako ulijenga kwa mkopo hivo unadaiwa pesa nyingi... mpime imani tu mkuu, baada ya siku kadhaa naamin kuna jibu lako ndani yake utapata.... in case ukifanya hvo naomba feedback... nliachishwa kazi, baada ya muda wa wiki nkaachwa na laaziz kipenda roho, nliteseka sana mkuu ila nmelivuka hlo japo bado namkumbuka ila sio rizki yangu, wengine ni lessons tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom