Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Punguza mawasiliano naye kimyakimya kisha uanze kumjibu kifupi akiwa anakutafuta. Huku ukifanya mambo yako, na hata akileta ugomvi wewe kausha na usijibu chochote. Maliza kujenga, ukae kwako.

Huyo keshaona amepata mti wa kuchuma matunda ya kunufaisha maisha yake. Ukichelewa, atakufilisi huyo. Kama wanawake wapo wengi mno na kila kukicha wanazaaliwa, huku kukiwa na wengine wengi ambao wapo tayari kuolewa.

Huyo ni jipu, Ukililea litakuwa tambazi. Shtuka mapema, jali maisha yako kwanza kama wanawake wapo na utaondoka duniani utawaacha. Haimaanishi ukimkosa huyo ndiyo umekosa yote duniani, bali utapata mwingine.

Siku nyingine usitafute mwanamke wa maonesho, itakucost.

MTEME KIMYAKIMYA
 
Punguza mawasiliano naye kimyakimya kisha uanze kumjibu kifupi akiwa anakutafuta. Huku ukifanya mambo yako, na hata akileta ugomvi wewe kausha na usijibu chochote. Maliza kujenga, ukae kwako.

Huyo keshaona amepata mti wa kuchuma matunda ya kunufaisha maisha yake. Ukichelewa, atakufilisi huyo. Kama wanawake wapo wengi mno na kila kukicha wanazaaliwa, huku kukiwa na wengine wengi ambao wapo tayari kuolewa.

Huyo ni jipu, Ukililea litakuwa tambazi. Shtuka mapema, jali maisha yako kwanza kama wanawake wapo na utaondoka duniani utawaacha. Haimaanishi ukimkosa huyo ndiyo umekosa yote duniani, bali utapata mwingine.

Siku nyingine usitafute mwanamke wa maonesho, itakucost.

MTEME KIMYAKIMYA
Hassan mambosasa, huyu ndio imeishaa kihivi yani hamna cha taratibu... nshakata huduma na saivi akinitafuta yeye namchana ukweli... upuuzi staki tena
 
Back
Top Bottom