Huyu mchungaji nae soon atalia kama MC Pilipili

Huyu mchungaji nae soon atalia kama MC Pilipili

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,709
Reaction score
25,487
Huyo mchungaji anaitwa Leonard Nombo
Kaamua kujilipua kwa kuoa pisi kali.
Eti kinajimwambafai kabisa kuwa kimewazidi kete wanaume wengine.
Mimi yangu macho na masikio tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250714_053620_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20250714_053620_Opera Mini.jpg
    94 KB · Views: 20
Huyu ni wale jamaa wanasemaga "hakuna mwanamke asiyegongwa nje"
Wanadhani tabia za mama zao na wake zao ni wanawake wooote wanazo
Kabisa
Familia zinatofautiana sana
Katika kutembea kwangu nilifika pahala....mama ana vijana watu wazima lakini cha ajabu wako huru sana kuzungumzia mambo ya ngono...ikafika pahala jamaa akaniunganishia mama yake...ila machine nikaikuta alhamdulilah kitu mnato.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom