Hivi unajua Kuna wafanyabiashara wachafu umewahi shuhudia mahotelini chakula kinavyoandaliwa , au kwa mama ntilie Yani ndo mana hata chakula Chao wanapiga tofauti ni basi tu nafikiri umenielewa
Sasa tuje kwa huyu muuza mahindi akiweka huko anapunguza joto kupotea na wateja wanapenda mahindi ya Moto Moto hivyo akimaliza ya mkononi anachomoa tu unauziwa 🤔ndo