JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,327
- 5,507
Gareth bale
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Cc Eden Hazard kabla hajahamia Real Madrid SC toka Chelsea SC.Daah the might Gareth Bale kabla hajaham Spurs ni moto alivyoenda Madrid ndio ikawa balaa sasa. Majeruhi yanaua sana ndoto za wachezaji
Yani hata ningekuwa sijawahi kufuatilia mpira ningeingia tu google/youtube ku search hiyo fainali ya huo mwaka na ningepata jibu.
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Ishapostiwa WhatsApp Channel ndiobikanipatia link ya kuja huku jamvini😂😂😂😂Hii nayo utakuta imepostiwa huko Whatsapp channel, Twitter (X) na kwingineko kisa tu ni mod
Gareth Frank Bale the 'Welsh maestro'
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Tabia za Gareth Bale hizi
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Ni kweli maelezo yanakupa jibu fast tu, kama hivi yaaniYani hata ningekuwa sijawahi kufuatilia mpira ningeingia tu google/youtube ku search hiyo fainali ya huo mwaka na ningepata jibu.
Naskitika sana ile spurs ya kina bale,modric haikushinda kombe hata mojaDaah the might Gareth Bale kabla hajaham Spurs ni moto alivyoenda Madrid ndio ikawa balaa sasa. Majeruhi yanaua sana ndoto za wachezaji
Bale wa kipindi hiki aliwahi kumchezesha kwata la kijambazi Maicon wa Inter Milan. Nadhani siku hiyo Maicon alilala na viatuNaskitika sana ile spurs ya kina bale,modric haikushinda kombe hata moja
Kupitia hili goal, kwangu Gareth Bale ali warudishia Real Madrid gharama walizotumia kumnunua.
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Sergio Busquets alimpush ila jamaa akazidisha mwendo.Anaitwa Gareth Bale alizaliwa July 16 1989 Cardiff hulo United Kingdom. Raia wa Wales katika mechi hiyo aliweza kuwapa Ushindi Real Madrid baada ya kupachika bao hilo alikuwa akikimbizana na Batra Centre Half ya FC Barcelona alipigwa push na kusogezwa pembeni ya uwanja kabla ya kufunguka kwa spidi kali na kufunga kwa kumpiga tobo goli kipa Pinto aliyekuwa akiva jezi namba 13. Ilikuwa ni dakika ya 84
Katika mechi hiyo star wa Real Madrid alishangilia bao hilo akiwa Jukwaani.
Asante🙏
Gareth bale alimzunguka Dan alves
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1.
Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka hadi nje ya mstari wa uwanja kisha akarejea na kwenda kufunga?
Kuna timu ukitajiwa wachezaji unaanza kuuliza walishinda makombe mangapi unaambiwa hakuna walichoshinda. Ni kama timu ya taifa la Belgium na kikosi chake cha dhahabu mwaka 2018 na kuendeleaNaskitika sana ile spurs ya kina bale,modric haikushinda kombe hata moja