Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Jamaa bado anampenda na ndo maana ht hapa anataman wote tumwambie vumilia hiyo chombo endelea kujitafunia!! Ila ukweli jamaa kajichanganya na hawez kuelewa Leo Hata apigiwe kelele masikion! Huyo ni mpk atakapo ona mwenyew na kukubal kutoka ndan yake kwamba ss bac na huyo bibie.. Iwe baada ya kufikwa na jambo fuln au vyovyote vle itakavyokuwa!!

Ila jmn wanaume nyie sijui huwa mnatuchukuliaj wanawake... Yaan rafiki zake jamaa hao wafanya biashara wenzie wanajua yote anayo Fanya ma kimada na huku naiman mke wa jamaa akienda offcn wanamchekea shangwe kama lote!! Aseee me ndo maana spendi kushibokewa na wanajiita mashemeji sijui marafk wa mtu wangu coz huwa naonaga unafki mtupu!!!! Iwe mtu wangu anafanya yke me najua au lah! Stki mazoea na mashemeji me!!!
Yaan huwataki mashemeji zako,

Ha ha ha ....., Ulitaka wakwambie ili ugundue Nini Sasa
 
Nlitaka nimuone akichati wakat nut zimelegea anakuwajee??
Alaaaa nikinywaga nazima data, na huwa siko peke yangu Ni ama niwe na ndg wa damu, ama sweetheart wangu,, maana zangu zinashukaga chini, hapo aibu nakosa basi ni vituko tupu

Japo mwili wangu haupendi pombe kabisa, hii si starehe yangu najilazimishaga tu
 
Oh, nimekuelewa hii ni chambo! Ngoja nione akina to yeye watakavyoliwa kimasikhara
DeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,

Hizi ni stories tu alivyo bize ni vile kanogewa na maraha ya mcheps wake km hakuwahi kuyapata huko nyuma raha yake anaona atumwagie huku sasa, ni kama kipofu aliyeona mwezi,
 
DeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,

Hizi ni stories tu alivyo bize ni vile kanogewa na maraha ya mcheps wake km hakuwahi kuyapata huko nyuma raha yake anaona atumwagie huku sasa, ni kama kipofu aliyeona mwezi,
Naona umepatikana! Binti Nadhani humu ndani kuna wale waliosoma vitabu vya David G. Maillu. Vitabu kama After four thirty, son of a woman nakadhalika. Nakumbuka Nyerere alivipiga marufuku ila wakati wa balehe tulikuwa tunavisoma na wakati huo tukivisoma ni ccm juu tu hadi tunajichafua. Hii story ni ya kusadikika na kama Watu8 alivyotuasa anatafuta Wanawake wahanga ili apate k za bure humu JF. Hakuna mhanga anayeweza kutamka kuwa anasaka k za bure! Kazi kwako
 
Naona umepatikana! Binti Nadhani humu ndani kuna wale waliosoma vitabu vya David G. Maillu. Vitabu kama After four thirty, son of a woman nakadhalika. Nakumbuka Nyerere alivipiga marufuku ila wakati wa balehe tulikuwa tunavisoma na wakati huo tukivisoma ni ccm juu tu hadi tunajichafua. Hii story ni ya kusadikika na kama Watu8 alivyotuasa anatafuta Wanawake wahanga ili apate k za bure humu JF. Hakuna mhanga anayeweza kutamka kuwa anasaka k za bure! Kazi kwako
Eti eeh haya bhana, Kila mtu yuko huru humu kumuamini umtakae mi nimechagua kumuamini yeye km ulivyosema nimepatikana😂
 
Alaaaa nikinywaga nazima data, na huwa siko peke yangu Ni ama niwe na ndg wa damu, ama sweetheart wangu,, maana zangu zinashukaga chini, hapo aibu nakosa basi ni vituko tupu

Japo mwili wangu haupendi pombe kabisa, hii si starehe yangu najilazimishaga tu
Si uwe tu km mimi
Me mwenzio bia walaaaaa
Wine mara moja moja kwa afya na nikozidi sana redds.
Nliwahi jaribu konyagi kweli haikuwa worse km bia ila nkaona mhhh sio maisha yangu nkamute.
 
DeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,

Hizi ni stories tu alivyo bize ni vile kanogewa na maraha ya mcheps wake km hakuwahi kuyapata huko nyuma raha yake anaona atumwagie huku sasa, ni kama kipofu aliyeona mwezi,
Yani wanavyomwandama. Sasa atatubebea wapi si wote...kwenye kirikuu auu alphard maana si kwa lele lele hzoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom