Ha ha ha. ...kaka mdogo wake anaendeleaje???.....nipasie huyo nimuoe
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yaan huwataki mashemeji zako,Jamaa bado anampenda na ndo maana ht hapa anataman wote tumwambie vumilia hiyo chombo endelea kujitafunia!! Ila ukweli jamaa kajichanganya na hawez kuelewa Leo Hata apigiwe kelele masikion! Huyo ni mpk atakapo ona mwenyew na kukubal kutoka ndan yake kwamba ss bac na huyo bibie.. Iwe baada ya kufikwa na jambo fuln au vyovyote vle itakavyokuwa!!
Ila jmn wanaume nyie sijui huwa mnatuchukuliaj wanawake... Yaan rafiki zake jamaa hao wafanya biashara wenzie wanajua yote anayo Fanya ma kimada na huku naiman mke wa jamaa akienda offcn wanamchekea shangwe kama lote!! Aseee me ndo maana spendi kushibokewa na wanajiita mashemeji sijui marafk wa mtu wangu coz huwa naonaga unafki mtupu!!!! Iwe mtu wangu anafanya yke me najua au lah! Stki mazoea na mashemeji me!!!
mkuuJamaa aliwaiilisha vema kipande icho. Mfikishie Salam zangu
Hahahahhaha usimuharibie fyucha waoaji tupoHa ha ha. ...
Wee nae acha mseleleko bhana
Oh, nimekuelewa hii ni chambo! Ngoja nione akina to yeye watakavyoliwa kimasikharaKuna watu wanashikwa masikio hapa ili waingie king...
Alaaaa nikinywaga nazima data, na huwa siko peke yangu Ni ama niwe na ndg wa damu, ama sweetheart wangu,, maana zangu zinashukaga chini, hapo aibu nakosa basi ni vituko tupuNlitaka nimuone akichati wakat nut zimelegea anakuwajee??
DeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,Oh, nimekuelewa hii ni chambo! Ngoja nione akina to yeye watakavyoliwa kimasikhara
Naona umepatikana! Binti Nadhani humu ndani kuna wale waliosoma vitabu vya David G. Maillu. Vitabu kama After four thirty, son of a woman nakadhalika. Nakumbuka Nyerere alivipiga marufuku ila wakati wa balehe tulikuwa tunavisoma na wakati huo tukivisoma ni ccm juu tu hadi tunajichafua. Hii story ni ya kusadikika na kama Watu8 alivyotuasa anatafuta Wanawake wahanga ili apate k za bure humu JF. Hakuna mhanga anayeweza kutamka kuwa anasaka k za bure! Kazi kwakoDeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,
Hizi ni stories tu alivyo bize ni vile kanogewa na maraha ya mcheps wake km hakuwahi kuyapata huko nyuma raha yake anaona atumwagie huku sasa, ni kama kipofu aliyeona mwezi,
Eti eeh haya bhana, Kila mtu yuko huru humu kumuamini umtakae mi nimechagua kumuamini yeye km ulivyosema nimepatikana😂Naona umepatikana! Binti Nadhani humu ndani kuna wale waliosoma vitabu vya David G. Maillu. Vitabu kama After four thirty, son of a woman nakadhalika. Nakumbuka Nyerere alivipiga marufuku ila wakati wa balehe tulikuwa tunavisoma na wakati huo tukivisoma ni ccm juu tu hadi tunajichafua. Hii story ni ya kusadikika na kama Watu8 alivyotuasa anatafuta Wanawake wahanga ili apate k za bure humu JF. Hakuna mhanga anayeweza kutamka kuwa anasaka k za bure! Kazi kwako
Una ego bwanaJeur na Tambo TU za status TU ndo kilichonikera pale.
Ingekua kimya kimya nisingehangaika nae vile
Hapa wala sikujuaWacha wee....
Mhh muoneeUkiachia TU kesho tunafua chup na mashuka
Maana nae wee unaonekana utakua kikosi Cha NAVY
Hehehe we mbaya ulitukimbiahahaha!mmemaliza nilipoachia looh!huu Uzi nuksii!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Si uwe tu km mimiAlaaaa nikinywaga nazima data, na huwa siko peke yangu Ni ama niwe na ndg wa damu, ama sweetheart wangu,, maana zangu zinashukaga chini, hapo aibu nakosa basi ni vituko tupu
Japo mwili wangu haupendi pombe kabisa, hii si starehe yangu najilazimishaga tu
Yani wanavyomwandama. Sasa atatubebea wapi si wote...kwenye kirikuu auu alphard maana si kwa lele lele hzooDeepPond ni mwanaume asiye na uroho km mnavyomuhisi, kashasema mwenyewe hajawahi tongoza mwanamke humu, km yupo ajitokeze,,
Hizi ni stories tu alivyo bize ni vile kanogewa na maraha ya mcheps wake km hakuwahi kuyapata huko nyuma raha yake anaona atumwagie huku sasa, ni kama kipofu aliyeona mwezi,
Tumeamua kupstikana shooEti eeh haya bhana, Kila mtu yuko huru humu kumuamini umtakae mi nimechagua kumuamini yeye km ulivyosema nimepatikana