Huyu mama sijui anawaza nini!

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,160
11,483
Victim.jpg
 
Wewe uliyepiga picha na ulikuwa nae site hujamuuliza alikuwa anawaza nini,ukakimbilia mitandaoni kuja kuwalazimisha watu waanze kupiga ramli chonganishi,muuulize weewe
 
Wewe uliyepiga picha na ulikuwa nae site hujamuuliza alikuwa anawaza nini,ukakimbilia mitandaoni kuja kuwalazimisha watu waanze kupiga ramli chonganishi,muuulize weewe
Hii ndo hali halisi ya maisha ya kitaa!
 
Amepitiwa na usingizi hapo amepitia kwa mama muunza ameshtua kidogo sasa alivyofika road jua kali zimemchanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom