Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Nimepanga sehemu moja hapa DSM lakini Mama mwenye nyumba simwelewi kabisa!!!
Wakati tunaingia naye mkataba MASHARTI yalikuwa machache sana but akaongeza mengine yafuatayo:
1. Hataki wageni wengi iwe wa KIKE au KIUME.
2. Hataki nitembelewe na WATOTO rum kwangu kuanzia 0-10 yrs.
3. Akija MGENI wa aina yoyote lazima nikamtambulishe kwake.
4. WAGENi mwisho kunitembelea saa 12 jioni.
5. Hataki kusikia hata SAUTI ndogo ya MUZIKI wowote.
Mbaya zaidi akiona nimeleta BINTI anakuja kukaa karibu na MLANGO wa rum ili asikie mnafanya nini ndani!!! Huyu MAMA anatatizo gani??!!
Wakati tunaingia naye mkataba MASHARTI yalikuwa machache sana but akaongeza mengine yafuatayo:
1. Hataki wageni wengi iwe wa KIKE au KIUME.
2. Hataki nitembelewe na WATOTO rum kwangu kuanzia 0-10 yrs.
3. Akija MGENI wa aina yoyote lazima nikamtambulishe kwake.
4. WAGENi mwisho kunitembelea saa 12 jioni.
5. Hataki kusikia hata SAUTI ndogo ya MUZIKI wowote.
Mbaya zaidi akiona nimeleta BINTI anakuja kukaa karibu na MLANGO wa rum ili asikie mnafanya nini ndani!!! Huyu MAMA anatatizo gani??!!
HAPPY NEW YEAR 2011!!!