"Huyu Mama...mi nikamwangalia tuu". Hii sio lugha ya Mimbarini, ni lugha ya Kijiweni! Rais wa nchi ni Rais, sio 'Huyu Mama'. Lazima aheshimiwe na wote

"Huyu Mama...mi nikamwangalia tuu". Hii sio lugha ya Mimbarini, ni lugha ya Kijiweni! Rais wa nchi ni Rais, sio 'Huyu Mama'. Lazima aheshimiwe na wote

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,722
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!.
Japo jina la mama kwa mwanamke yoyote ni jina la heshima,ila the tone iliyotumika ku mu address Mkuu wa nchi,sio tone ya heshima!。

Hii sio lugha ya mimbarini!,hii ni lugha ya kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

HIi ya kusema rais lazima aheshimiwe isije kuchanganywa na kuabidiwa Wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni Mungu pekee!

Hii ya mimi kuomba rais aheshimiwe, kuna watu wanaweza kunidhania mimi ni chawa!, mimi sio chawa, sijawahi kuwa chawa na kamwe siwezi kuwa chawa!

Awamu zote, mazuri napongeza, madhaifu nakosoa!

Nilianza na JK, Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" pia Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim!

Nikaja kwa JPM, Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli na kuwasisitiza Magufuli ni Rais wetu, asiabudiwe, asiogopwe, bali aheshimiwe

Na sasa ndio Rais.Samia!, Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo mimi sio chawa wa mtu yoyote, kwangu mimi ni Maslahi ya taifa tuu mbele!.

Paskali
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!

Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!.Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!

Paskali
Muheshimu wewe inatosha
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!

Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!.Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!

Paskali
Wewe P unataka aitwe huyu Bibi ama? Yeye alivyodharu katiba iliyomuweka madaraka akaita ni KIJITABU uliona ni sawa. Moto huu umeshawaka. Jifunze kujiheshimu P. Huyu Mama lazima akemewe.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!.Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!

Paskali
KWA TUKIO LA KITINE HATA WAKIMWITA HUYU MAMA NI SAWA KABISA.
MAMA NI MLEZI WA KONDOO WOTE SYO KUTAWANYA KONDOO WAKIMBIE KILA MAHALI BILA YA MCHUNGAJI
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali

Hupati teuzi .

Move on.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!.Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!

Paskali
Bullshit!

Kumheshimu Rais ni obligatory per who/what?
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali

Acha Fikra za kikoloni na za Kidikteta.

Fikra zako jinsi zilivyo zinafanana sawa sawa kabisa na Fikra za Vibaraka na Chawa wa aliyekuwa Rais wa Kenya Bw. Daniel arap Moi enzi za Utawala wake nchini humo. Vibaraka na Chawa wa Rais Moi walikuwa wakimsifu na kumuabudu Rais huyo kwa kumwita jina lake kwa kuanza na neno 'Mtukufu' Rais, Daniel arap Moi. Mtu yoyote yule ambaye alimwita Rais Moi bila ya kuanza na neno ' MTUKUFU' alihesabika kama eti ni 'mtovu wa adabu' kwa 'Mtukufu' Rais, na adhabu kali ya kutekwa, kuteswa na/au kuuawa ilikuwa inamhusu mtu wa nanna hiyo.
Kwa hiyo Bw. Pascal Mayala usitake kutuletea USHETANI wa namna hiyo hapa Tanzania. Mambo ya hovyo Kama haya yamepitwa na wakati, na yalishakufa pamoja na Utawala wa Bw. Daniel arap Moi.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali
Chawa muandamizi naona unatafuta pa kuonekania.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali
Okay ila atabaki kuwa mama na unapaswa kuelewa kama kero za wananchi ananyamazia hastaili kuitwa Rais
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali
Kwani sio mama, au kwasababu hajaweka kale kabwagizo kenu ka'daktari?!
Kila siku ni mama, mama , mama mamaaa...
Leo imekuwa kauli mbaya kwasababu ya ujumbe aliofikisha.?!
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa viongozi wetu wa dini,waepuke lugha za vijiweni wawapo mimbarini!


Matamshi haya ku mu address Mkuu wa nchi na rais wako kumuita ”Huyu mama... mi nikamwangalia tuu”!kutoka kwa kiongozi wa dini kubwa,tena akiwa mimbarini!,hii sio sawa!

Hii Sio Lugha ya Mimbarini!,hii ni Lugha ya Kijiweni!. Rais wa Nchi ni Rais wa nchi,hata akiwa ni mwanamke,au ni mama, ni rais wa nchi,na sio huyu Mama!。 Rais wa nchi ni lazima aheshimiwe na wote sio as an option but obligation!Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali
Huyu mama, kwani ni babu huyo?

Huyo ni mama yenu mbona kila siku mnaandika hivyo.
 
Back
Top Bottom