Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salamaa wana MMU
Kama mada inavyojieleza
Nipo Mkoani huku nafanya kazi,sasa naishi chumba cha rafiki angu ambaye sasa tumekua kama ndugu
Huyu Jamaa kaoa na yupo Daslama huko na nke wake ,hivyo chumba chake mi ndo naishi
Hapa home kuna ndugu(sio wa damu) na huyu rafiki angu ambaye ameoa na ana binti kama wa miaka 17-19 hivi anasoma,kiukweli tangu nije hapa nlipewa taarifa kuhusu tabia za huyu mama so nikamfahamu kinaga ubaga
Mwezi uliopita nlipata msichana akawa mpenzi wangu so akaanza utaratibu wa kunitembelea pale ghetto Mara kwa Mara ,yule mother alikua anamwona ,Mimi niliona ni jambo la kawaida kumpeleka pale home coz kila mtu anaishi kwenye chumba chake,hii nyumba ni ya ndugu wa mume wa Huyo mmama
Sasa hivi majuzi nikasafiri baada ya kurudi nikakutana kuna matatizo kidogo huduma ya maji imesitishwa so nikampigia yule Jamaa angu kumweleza tukaongea vizuri,ila mwisho akaniambia amepigiwa simu na yule mother analalamika eti Mimi naingiza demu pale home ambaye ni rika la mwanae so haileti picha nzuri
Jamaa nae akaniambia oooh huyo mother mswahili sana Mara hapo home sie wote tumekaribishwa lakini Huyo mama na bwanake wana sauti sana kwa mmiliki wa nyumba so anaweza akanifukuza akisikia nimemwacha mtu halafu analeta msichana,mi nikamjibu poa ntasitisha kuleta huyo msichana
Sasa hapa nawaza nifanyaje je nimfuate yule mother nimchane aache kufuatilia life langu na kutaka kunikosanisha na rafiki angu au nimpuuze tu? Manake huyo binti anamwona ndio anaingia ndani siku moja moja lakini kitendo cha kupiga simu na kuwatangazia baadhi ya ndugu wa mmiliki wa ile nyumba hadi kasababisha rafiki angu akoromewe naona si cha kiuungwana ,Je nimfuate nimchane aache ukuda na fitna au nimpotezee??
Kama mada inavyojieleza
Nipo Mkoani huku nafanya kazi,sasa naishi chumba cha rafiki angu ambaye sasa tumekua kama ndugu
Huyu Jamaa kaoa na yupo Daslama huko na nke wake ,hivyo chumba chake mi ndo naishi
Hapa home kuna ndugu(sio wa damu) na huyu rafiki angu ambaye ameoa na ana binti kama wa miaka 17-19 hivi anasoma,kiukweli tangu nije hapa nlipewa taarifa kuhusu tabia za huyu mama so nikamfahamu kinaga ubaga
Mwezi uliopita nlipata msichana akawa mpenzi wangu so akaanza utaratibu wa kunitembelea pale ghetto Mara kwa Mara ,yule mother alikua anamwona ,Mimi niliona ni jambo la kawaida kumpeleka pale home coz kila mtu anaishi kwenye chumba chake,hii nyumba ni ya ndugu wa mume wa Huyo mmama
Sasa hivi majuzi nikasafiri baada ya kurudi nikakutana kuna matatizo kidogo huduma ya maji imesitishwa so nikampigia yule Jamaa angu kumweleza tukaongea vizuri,ila mwisho akaniambia amepigiwa simu na yule mother analalamika eti Mimi naingiza demu pale home ambaye ni rika la mwanae so haileti picha nzuri
Jamaa nae akaniambia oooh huyo mother mswahili sana Mara hapo home sie wote tumekaribishwa lakini Huyo mama na bwanake wana sauti sana kwa mmiliki wa nyumba so anaweza akanifukuza akisikia nimemwacha mtu halafu analeta msichana,mi nikamjibu poa ntasitisha kuleta huyo msichana
Sasa hapa nawaza nifanyaje je nimfuate yule mother nimchane aache kufuatilia life langu na kutaka kunikosanisha na rafiki angu au nimpuuze tu? Manake huyo binti anamwona ndio anaingia ndani siku moja moja lakini kitendo cha kupiga simu na kuwatangazia baadhi ya ndugu wa mmiliki wa ile nyumba hadi kasababisha rafiki angu akoromewe naona si cha kiuungwana ,Je nimfuate nimchane aache ukuda na fitna au nimpotezee??