Huyu mama ananifanyia fitna nimfanyaje?

Unapata wapi ujasiri wa kuingiza mwanamke angalia umeomba hifadhi tu???Fata sheria mzee mpaka upate kwako
 
Sijawahi kufurahia mawasiliano na mama mtoto wangu
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Sigara Kali, Jul 2, 2017.

Watch Thread

  1. Sigara Kali JF-Expert Member
    #1
    Jul 2, 2017

    Joined:May 28, 2017
    Messages:1,414
    Likes Received:2,816
    Trophy Points:280
    Habari wakuu
    Husika na mada tajwa hapo juu
    ni mwaka wa 4 Sasa nipo nae ,tulikutana wakati nasoma chuo kikuu flani hapa TZ
    Nakumbuka mara ya Kwanza nlikutana nae barabarani nkamwomba namba akanipa
    Kama kawaida yetu wanaume atulembi nkamtia vocal binti kajaa
    Tukaingia katika mahusiano maisha yakaendelea.
    Siku za mwanzo za mahusiano yetu binti alikua na juhudi Sana ya kupiga cm na kuchat na mm mawasiliano yakawa mazuri ya kupendeza
    Baada ya muda binti akaenda mbali na mm mawasiliano yakaendelea ,wakati flani akapata kazi mjini kwa Bashite tukawa karibu tena
    Ikafika kupindi binti nikampa ujauzito kazi ikamshinda nkamwambia usijali njoo nikusaidie kulea mimba nkaishi nae kwa amani upendo na furaha
    Mtoto akazaliwa baada ya miezi kadhaa mama mtoto akapata kazi yenye salary nzuri
    Nkauza baadhi ya vitu nkampa hela akaenda mkoani kuanza kazi
    Nligraduate degree yangu salama salmin nkasema niende kwa mama mtoto tukaishi vzr but baada ya muda mawasiliano yakawa nji shida
    Mimi ndo nkageuka mpigaji cm mtumaji msg
    Sometimes simu inapigwa haipokelewe
    Naishi mbali nae nimejaribu kumwelekeza juu ya umuhimu wa mawasiliano mazuri baina yetu lakini Bado tatizo linaendelea
    Nsipopiga cm wala kutuma text nae anakaa kimya
    Na akipiga anaanza kulaumu sijapiga cm kumjulia Hali mtoto kwa maana uwepo wa Mtoto ndo niwe mtumwa
    Sifurahi kabisa mtindo wa mawasiliano yetu
    Imefikia hatua michepuko ndo inanipa furaha kuliko mwandani wangu
    NB: Mimi sina hela wala kazi ya maana ya kuingiza kipato napiga mishe mishe tu za mjini nna kiwango kikubwa cha elimu Ila Bado Mambo hayajanikalia poa naendelea kupambana nijenge heshima
    Mama mtoto wangu ni mwajiriwa kanizidi kipato
    Nimeamini wanawake ndo chanzo cha kuvurugika kwa mahusiano na ndoa mwanamke akijua unampenda anataka akutawale,mwanamke akiona huna pesa heshima inashuka Hana muda na wewe,wanawake chonde chonde mtuheshimu na kutujali waume zenu hata kama hatuna pesa wala kazi za maana .

    Report
    Like - 3 people likes + Quote Reply

MkuU?? Hahahah una ugomvi na huyu bwana? This kind of memory and record keeping is devilish
 
Back
Top Bottom