Kapande
Member
- Dec 19, 2012
- 53
- 20
unamaanisha nin fafanua kdogo!
Si inasemekana anakasi na nguvu nyingi kuliko Simba
unamaanisha nin fafanua kdogo!
Duma
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Tiger ni jinale kwa kiingereza,
Kiswahili chake ni "Simba-Marara". Marara ni ile milia yake inavyoonekana. Ana nguvu na speed kuliko simba wa kawaida. Pia ana uwezo wa kulifuata windo lake ndani ya maji.
Wanaosema ni Duma wamekosea, maana duma anaitwa Cheetah kwa kimombo
Tafsiri hii niliipata zamani kidogo (miaka ya 80 mwishoni) wakati nasoma picture-book ya wanyama.
Ni mnyama jamii ya paka kama walivyo simba na chui.
![]()
Ingawa umepata credits nyingi kwa kupenda maelezo yako naomba turekebishane hapo juu..Huyu ni chui yaani tiger.(na sio Simba Marara)..kwanini kiswahili chake kiwe Simba marara wakati ni chui???.Ukisema chui marara sitakubishia
Huyu ni chui...kwa kiingereza anaitwa Siberian Tiger (Panthera tigris altaica)...one of endangered species. Anapatikana katika nchi za mashariki ya mbali yaani Asia na Urusi. Ni mnyama pekee anaeweza kupambana na simba na bears akikutana nao katika mawindo![]()
Kwa hapa Tanzania sina uhakika sana kama jamii ya chui huyu tunayo.... Kama wapo tujuzane ile wataalamu wakafanye utafiti.
Mkuu ndo ukubali kuwa kiswahili chetu kina mapengo mengi.Ingawa umepata credits nyingi kwa kupenda maelezo yako naomba turekebishane hapo juu..Huyu ni chui yaani tiger.(na sio Simba Marara)..kwanini kiswahili chake kiwe Simba marara wakati ni chui???......
Tiger ni jinale kwa kiingereza,
Kiswahili chake ni "Simba-Marara". Marara ni ile milia yake inavyoonekana. Ana nguvu na speed kuliko simba wa kawaida. Pia ana uwezo wa kulifuata windo lake ndani ya maji.
Wanaosema ni Duma wamekosea, maana duma anaitwa Cheetah kwa kimombo
Tafsiri hii niliipata zamani kidogo (miaka ya 80 mwishoni) wakati nasoma picture-book ya wanyama.