Xuma
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 683
- 196
Huyu ni DUMA. Kuna Chui, Duma na Chita wote wote ukiwaangalia kwa haraka wanafanana na kwa mtu ambaye hawajui vzuri anaweza kushindwa kuwatofautisha na kuwaita Chui.
Chita ndo PUMA??
Huyu ni DUMA. Kuna Chui, Duma na Chita wote wote ukiwaangalia kwa haraka wanafanana na kwa mtu ambaye hawajui vzuri anaweza kushindwa kuwatofautisha na kuwaita Chui.
Tiger ni jinale kwa kiingereza,
Kiswahili chake ni "Simba-Marara". Marara ni ile milia yake inavyoonekana. Ana nguvu na speed kuliko simba wa kawaida. Pia ana uwezo wa kulifuata windo lake ndani ya maji.
Wanaosema ni Duma wamekosea, maana duma anaitwa Cheetah kwa kimombo
Tafsiri hii niliipata zamani kidogo (miaka ya 80 mwishoni) wakati nasoma picture-book ya wanyama.
Uchokozi huo!huyu lazima anaitwa LIBOLO
Huyu ni DUMA. Kuna Chui, Duma na Chita wote wote ukiwaangalia kwa haraka wanafanana na kwa mtu ambaye hawajui vzuri anaweza kushindwa kuwatofautisha na kuwaita Chui.
kwa kiswahili halisi anaitwa Simbamilia...huyo sio chui kama wengi wanavodhani..
Uchokozi huo!
huyu lazima anaitwa LIBOLO
Hata nami lilinijia jina hili. Sijui ni kwanini walimuita "Simba Marara", km alivyoandika Paw hapo juu. Ni bora basi wangemuita "Chui Marara".
Sio cheater. Ni cheetah. Tukishirikiana tutaijenga nchi pamoja.
Huyu ni DUMA. Kuna Chui, Duma na Chita wote wote ukiwaangalia kwa haraka wanafanana na kwa mtu ambaye hawajui vzuri anaweza kushindwa kuwatofautisha na kuwaita Chui.
kama hana jina mimi nambatiza jina la chui milia
![]()
Huyu kwa jina la kimombo anaitwa Tiger sina uhakika ila nahisi kiswahili chake pia huitwa Dubu, sio Duma maana Duma ni Cheater kimomb.