Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Mimi Sijawahi kuwa mwanachama wa Chadema ila kwa mantiki kama chama cha siasa lazima usikilize mrengo wao
Kipindi cha Dr. Slaa chama kilikuwa kinaheshimika kwa sababu ya kujenga hoja na Mzee Slaa alikuwa anawafua vijana nini cha kuongea mbele ya umma
Ila alipoondoka Dr Slaa akaja jamaa moja anaropoka kila linalomjia kichwani, kutoa lugha chafu, kudharau wengine Kwa kisingizio cha yeye mnadhimu wa upinzani
Ni ukweli Siasa za lissu zimeifanya Chadema kupoteza muelekeo kabisa
Watanzania hawakuzoea lugha chafu, matusi na dharau Kwahiyo Chadema mtambue aliyeua sacos yenu ni Lissu a very hopeless man
Kwa heri Chadema kwaheri Mabeberu weusi
Kipindi cha Dr. Slaa chama kilikuwa kinaheshimika kwa sababu ya kujenga hoja na Mzee Slaa alikuwa anawafua vijana nini cha kuongea mbele ya umma
Ila alipoondoka Dr Slaa akaja jamaa moja anaropoka kila linalomjia kichwani, kutoa lugha chafu, kudharau wengine Kwa kisingizio cha yeye mnadhimu wa upinzani
Ni ukweli Siasa za lissu zimeifanya Chadema kupoteza muelekeo kabisa
Watanzania hawakuzoea lugha chafu, matusi na dharau Kwahiyo Chadema mtambue aliyeua sacos yenu ni Lissu a very hopeless man
Kwa heri Chadema kwaheri Mabeberu weusi