Huyu Kaka Kaniweza

Huyu Kaka Kaniweza

Kwa hiyo hapa unahitaji nini? Ushauri, umeleta tu habari, utafutwe uonyeshe maufundi uliyopewa na huyo baharia au unatutega tuje PM? Hebu nenda kwenye mada
 
Bila shaka Wewe ndo uyo dada ake. ndani ya ID ya kiume
Mkuu mbona unataka kumlazimisha dada wa watu,afikirie kuolewa ilhali yeye hajasema anataka kuolewa?

Amekwambia hawezi kumsahau jamaa,lakini pia anatamani awe wake(sio anatamani kuolewa naye)

So,usimlazimishe dada aanze kuwaza mambo ya ndoa wakati sio target yake
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
Jifunze kuandika kwanza. Huku kuweka vituo(nukta) kwenye uandishi?

Back to the topic:
Mkaenda kunywa,mkacheza mziki,akarudi na wewe geto kwake,AKAKUKULA na hajawahi kukuambia anakupenda!

Mpaka hapo hujajua tu kuwa umekutana na baharia,amekula mzigo na anasepa?
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
huyo kaka ni mimi..sijapenda papuch yako haina utamu asil
 
Username yako kama jina la mwanangu. I hope hatokua miyeyusho kama mleta uzi.
 
Back
Top Bottom