Huyu Kaka Kaniweza

Huyu Kaka Kaniweza

Mnakua cheap Sana,mnaliwa bila kuambiwa mikakati yoyote,happy jamaa kaona wewe niwakuliwa tu,na siyo kukuoa.
Mkuu mbona unataka kumlazimisha dada wa watu,afikirie kuolewa ilhali yeye hajasema anataka kuolewa?

Amekwambia hawezi kumsahau jamaa,lakini pia anatamani awe wake(sio anatamani kuolewa naye)

So,usimlazimishe dada aanze kuwaza mambo ya ndoa wakati sio target yake
 
IMG_20190922_085644.jpeg
 
Kwani hapo bar ameacha kwenda? Kwanini ulifuta namba yake?
Ila hiyo ahsante mmmmh...
 


Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
Aisee!! So hata hamkutongozana, amekuchukua akakukaza na kuondoka zake kama wanavyofanywa wale makahaba wa buguruni, tandika na temeke sudani?
 
Mbona unaandika haraka hivyo kama unajitetea?
Shida ni nini mkuu???
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
 
Back
Top Bottom