Huyu kaka jirani simuelewi kabisa

Huyu kaka jirani simuelewi kabisa

kiss ov love

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
9,363
Reaction score
16,092
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
 
Sasa usichomwelewea ni Nini?...huyo ni introvert, ni warrior behind keyboard ...ni mshy lkn mwaminifu na trust me akikuzoea utampenda....usimtunuku Ngono kwanza, make him a friend....bado na simu zake na ubize wake , Hana marafiki and he is very lonely.......
 
Sasa usichomwelewea ni Nini?...huyo ni introvert, ni warrior behind keyboard ...ni mshy lkn mwaminifu na trust me akikuzoea utampenda....usimtunuku Ngono kwanza, make him a friend....bado na simu zake na ubize wake , Hana marafiki and he is very lonely.......
Siwezi kudate naye siyo type ya wanaume naowakubali
 
Vidada vya jf vinaongoza kwakutongaza kwa staili hizi humu!!, We sema kama kisididi chako kimewasha mtu aje akusaidie.... Sasa wewe unataman uwaelewe wanaume wote umekuwa malaika?.
Mh! Wewe nawe umefika mbali acha hizo
 
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
Si nilikwambia matukio huwezi kuishiwa 😆
 
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo mengi maana muda wote anaongea na simu tu.

Nimewamiss wana jukwaa😍🙂‍↕️😔
Akikutumia meseji huwa anakuambiaga nini na mkionana ana kwa ana anasema nini
 
Back
Top Bottom