Huyu jamaa...!!

Huyu jamaa...!!

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,166
Reaction score
2,670
Washawasha na NALOG OFF zake kwa kweli ni kama kichekesho fulani.

Akimaliza kuongeaaaaaaa NALOG OFF
Akimaliza kusomaaaaaaa NALOG OFF

Nadhan katika hali ya kawaida huwa anafanya hivyo, kama vile

Akienda kulala usingizi ukimjilia tu Nalog off
Akiamka asubuhi Nalog off (Usingizi)
Akimaliza kupiga mswaki Nalog off
Akimaliza kunywa chai Nalog off
Akimaliza kujitayarisha kwaajili ya mtoko Nalog off
Kila mahali NALOG OFF

Huyo ndo Washawasha a.k.a NALOG OFF!
 
Haaaaa hiyo ni identity yake tu ni kama jamaa akimaliza tu ataandika 100 au kuna jamaa anajiita greater thinker anamaliza na yoo

Promo only
 
Washawasha na NALOG OFF zake kwa kweli ni kama kichekesho fulani.

Akimaliza kuongeaaaaaaa NALOG OFF
Akimaliza kusomaaaaaaa NALOG OFF

Nadhan katika hali ya kawaida huwa anafanya hivyo, kama vile

Akienda kulala usingizi ukimjilia tu Nalog off
Akiamka asubuhi Nalog off (Usingizi)
Akimaliza kupiga mswaki Nalog off
Akimaliza kunywa chai Nalog off
Akimaliza kujitayarisha kwaajili ya mtoko Nalog off
Kila mahali NALOG OFF

Huyo ndo Washawasha a.k.a NALOG OFF!
Ahsante sana Papa Mopao,tatizo natumia LIKE ningekupa CELLULAR,ni kweli kabisa hata nikamaliza kufanya tendo la uumbaji huwa Nalog off
 
Ahsante sana Papa Mopao,tatizo natumia LIKE ningekupa CELLULAR,ni kweli kabisa hata nikamaliza kufanya tendo la uumbaji huwa Nalog off

Aaa mze wa NALOG OFF karibu bana! Umeingia kwa gia ya aina yake mkuu!! hahahaha!
 
Back
Top Bottom