HUYU JAMAA NI WALE WALE TU!

Tinde nsalala

JF-Expert Member
Feb 12, 2017
248
253
Ndiyo,ni huyu mkuu wa mkoa wa wenye pilikapilika nyingi.Jiji lenye bandari iliyo salama.Kwangu mm ni muuza sura tu.

Kiongozi gani bora hutumia mda mwingi kujionyesha kwenye vyombo vya habari?!

Kiongozi yupi mwenye uchungu na wananchi wake km anavyotuamisha anatumia madaraka yake kuonea na kusingizia watu mambo mabaya na huku hana ushuhuda kwalo?!

Kiongozi gani huyu mpenda visasi?!

Kiongozi gani huyu aliyejawa na majigambo na kiburi kisicho na kiwango?!

Binafsi,simkubali na haitokea nishawishike eti huyo mtu ni kiongozi mzuri!Kiongozi mwema na mzuri si mwenye SIFA na mambo hayo niliyoyaainisha hapo juu.Hana SIFA ya kuwa mpenda sifa km huyo.


Maradhi hayafichiki na limbukeni hujidhihili tu hata km atajifanya siye mwisho wa siku hudhihili tu.

Jioni njema.
 
Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yamepamba moto. Kila neno baya litaandikwa dhidi ya Makonda. Mmeshakwama
 
Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yamepamba moto. Kila neno baya litaandikwa dhidi ya Makonda. Mmeshakwama
Ipo siku utakubaliana na mtizamo hasi nilionao kwa HUYU jamaa.Mm na ww sote tu wanachama wa CCM lkn mienendo ya huyu mwenzetu,siyo!
 
Ipo siku utakubaliana na mtizamo hasi nilionao kwa HUYU jamaa.Mm na ww sote tu wanachama wa CCM lkn mienendo ya huyu mwenzetu,siyo!
Usicho kijua ni komoja tu mkuu wewe ni mwana ccm lakin una tumia akili yako zaidi lakin lizaboni ni mwana ccm lakin hatumii akili yake zaid na hiyo ndiyo tofauti yenu iliyo kuu.
 
Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yamepamba moto. Kila neno baya litaandikwa dhidi ya Makonda. Mmeshakwama

Hata bunge linaloongozwa na wabunge wengi wa ccm inashangaza wataka makonda akahojiwe na bunge......
 
Ipo siku utakubaliana na mtizamo hasi nilionao kwa HUYU jamaa.Mm na ww sote tu wanachama wa CCM lkn mienendo ya huyu mwenzetu,siyo!
Sasa pamoja na kwamba wote ni wanaccm lakini mwenzio amekuzidi , yeye ni mwanaccm mchumia tumbo , haishi kwa kudra za Mungu kama wewe , anaishi kwa kudra za ccm .
 
Back
Top Bottom