Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,227
- 40,718
Sijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.kwahiyo mpaka unaotenganisha bongo na kenya ni nini hapo?
Huo mlango wa bungalow lake.Ha ha ha something wrong somewherekwahiyo mpaka unaotenganisha bongo na kenya ni nini hapo?
Panafaa kufanya ziara... Moshi je! Ruksa pia?HAPO SASA!
Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Fedha Dkt. Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama Naibu Waziri Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kituView attachment 1022109
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakenya wana akili sana, kwa hiyo watoto wanapigia magoli chumba kipi cha kenya au cha Tanzania
Ni ruksa Kwa utaliiPanafaa kufanya ziara... Moshi je! Ruksa pia?
Jr[emoji769]
Hiyo ndiyo tofauti ya Tanzania na kenyaPhotoshop. Kuta nusu ni rangi tofauti, paa nusu ni rangi tofauti
😁😁😁😁Wakenya wana akili sana, kwa hiyo watoto wanapigia magoli chumba kipi cha kenya au cha Tanzania
Itakuwa mirungi😁Huo mlango wa bungalow lake.Ha ha ha something wrong somewhere
Nadhani hapatakiwi kujengwa nyumbaSijaelewa mipaka huwa na eneo wazi la No man's land hapo imekuwaje? Mpaka kati ya nchi na nchi kuna eneo linakuwa wazi ambalo hata mkianza Vita majeshi yanayowaamulia waweza kaa hapo katikati kwenye eneo la No man"s land kuwadhibiti wa huku usije huku .Ina maana hapo hakuna eneo la No man:s land? ina maana huyo kajenga eneo hilo ambalo halitakiwi kujengwa au ni viipi.? Wataalamu wa wizara ya ardhi kitengo cha upimaji na ramani jibuni hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ndiyo tofauti ya Tanzania na kenya
Hicho chumba kimoja itakuwa kiliongezwa, aliacha "matoleo" wakati anajenga.Photoshop. Kuta nusu ni rangi tofauti, paa nusu ni rangi tofauti