sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,024
- 638
maisha ni hatari sana,, nauchukia
sana umaskini , eti hapa mjini mtu
kamua awe fundi mianvuli kweli
fundi mianvuli jamani huo
mwanvuli unauzwa tsh ngapi,,
mpaka uharibike ni lini na hiki
kiangazi nanii atakumbuka habari
za mianvuli,, aiseee sijawahi
mdharau maskini mwenzangu zaidi
ya kumhurumia
sana umaskini , eti hapa mjini mtu
kamua awe fundi mianvuli kweli
fundi mianvuli jamani huo
mwanvuli unauzwa tsh ngapi,,
mpaka uharibike ni lini na hiki
kiangazi nanii atakumbuka habari
za mianvuli,, aiseee sijawahi
mdharau maskini mwenzangu zaidi
ya kumhurumia