Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,684
- 4,383
Wanamuita Steven Joel Ntamusano
Huyu jamaa kweli anastahili kuitwa Great thinker nimemuona kwenye mijadala mingi anayoshiriki yeye ndo huwa anaibuka kidedea bila matusi, bila kashfa yaani unaeleweshwa na unatoka umeelewa
kongole sana Mkuu endelea kutupa Elimu
Huyu jamaa kweli anastahili kuitwa Great thinker nimemuona kwenye mijadala mingi anayoshiriki yeye ndo huwa anaibuka kidedea bila matusi, bila kashfa yaani unaeleweshwa na unatoka umeelewa
kongole sana Mkuu endelea kutupa Elimu