Huyu Jamaa aitwaye Maxence Melo anawasalimu

Melo nacho mkubali ni kichwa chake kipo fasta maswali magumu na kutolea ufafanuzi wa jambo flani...

Kuna siku nilimskia anahojiwa na Bbc alivyo kuwa anajibu maswali
 
Tumuombee sana huyu ndugu yetu, asiingiwe na tamaa kama ndugu zetu wa ACT

Mzee wa Fent Ford achelewi kumuonga billions kadhaa ili mtandao ubadilishe maudhui na ID zote kufumuliwa. Na kila mtu kula alipopeleka mboga
Itakuwa kilio na kusaga meno
 
Back
Top Bottom