Huyu Issa Bin Mariamu ni nani? Uhusika wake ukoje?

huna swali, mimi ndio nimeshangaa unajibiwa maswali, unarukia kuuliza muandishi

anzisha mada uliza waandishi wa biblia
Kuwa serious kijana. Fanya kitu kimoja,chukua swali nililo kuuliza kisha weka na hilo ulilo sema kuwa ni jibu umejibu swali langu. Ukiweza naacha kujadili hii mada.
 
hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i,

“Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”

Hivyo twaona kuwa hoja ya kumkataa Paulo ni uzushi wa hivi karibuni. Waislamu, wasomi na Maulamaa wa kale hawakuwa na hoja hii ya kumkataa Paulo.
Nimecheka sana,hujaweka hili tunalipata wapi ?
 
Jibu swali nililo kuuliza. Usicjanganye mada,hili lako lilete baada ya wewe kujibu swali nililo kuiliza. Itifaki lazima izingatiwe.
tuambie kwanza, hivi kweli hiyo aya ipo? kama ipo basi kuna umuhimu wa kuifanyia marekebisho. au?
 
hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i,

“Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”

Hivyo twaona kuwa hoja ya kumkataa Paulo ni uzushi wa hivi karibuni. Waislamu, wasomi na Maulamaa wa kale hawakuwa na hoja hii ya kumkataa Paulo.
Kwahiyo "Bulus" ndiyo "Paul" hili tatizo aisee.
 
Issa siyo Yesu
1. Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Issa alizaliwa chini mtende
2. Yesu alisurubiwa, akafa na siku ya 3 akafufuka wakati Issa hakusurubiwa, hakufa wala kufufuka.
3. Yesu alitumia Biblia. Alipewa kusoma kitabu cha Isaya na alibatizwa wakati Issa alitumia Quran na hakubatizwa.
Kwanini huwa mnang'ang'ania Yesu ni Issa? Siyo kosa lako sbb huwa mnakaririshwa.
Huna elimu ya Theology.
 

Katika ile matini kutoka katika Tafsir ya Imaam Ibn Kathiri linasomeka jina kwa Kiarabu "Bulus", sasa wao ndiyo wanatuambia ni Paulo sasa anatumia ushahidi gani.

Kadhalika kuna mapokezi yanawataja wengine watatu ambao si Shamuun,wala si Yahunnah wala si Bulus.

Jifunzeni kuhakiki habar.

Nasubiri atupe ushahidi.
 
UNATAKA UJIBIWE MARA 100?


UMEJIBIWA UNAULIZA WAANDISHI , UNAPIGA GIA ANGANI....
Hujajibu swali hata swali moja. Nimekuiliza waandishi wa hayo maandiko yenu ni kina nani ?

Hili swali linavunia uongo wenu wote,na hakuna anaye weza kujibu swali hilo,ndiyo maana unalikimbia.

Swali liko pale pale,ni nani ameandika hizo habari mpaka zifike kwa Yesu.

Nipo ...
 
Ibin Kathir katika tafsir yake anasema wajumbe hao ni Yohana, Simoni na Paulo.

Na hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i, “Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”
Nimecheka sana,hujaweka hili tunalipata wapi ?
 
Hujajibu swali hata swali moja. Nimekuiliza waandishi wa hayo maandiko yenu ni kina nani ?

Hili swali linavunia uongo wenu wote,na hakuna anaye weza kujibu swali hilo,ndiyo maana unalikimbia.

Swali liko pale pale,ni nani ameandika hizo habari mpaka zifike kwa Yesu.

Nipo ...
NDIO KICHAKA CHAKO CHA KUKIMBIA MASWALI, NDIO MAANA NIMEKWAMBIA BAADA YA KUJIBIWA, UKAZALISHA MADA MPYA

SO ANZISHA UZI KUHUSU WAANDISHI, HUWEZI KUNITOA NJE YA MADA KIUJANJA
 
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.


Mkitaka kujua kama wajanja wenu wanawapotosha kwa ma kusudi ili msijue Yesu wa kweli

Nitafutieni hilo andika katika kitabu cha nabii Isaya katika bibilia zenu za sasa

Hilo andika katika bibilia ya king James version ya 1956 lipo katika kitabu cha Isaya ila bibilia za sasa limetolewa

Je! Kwanini kanisa imelitoa hilo andiko katika kitabu cha Isaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio maujinga mnadanganywa na akina mazinge kuwa kuna aya zimeondolewa siyo?
 
Wewe kilaza tu Musa ya Yesu wamepisha miaka 1500 kwa hiyo katika nchi yote ya Israel kwa miaka yote hiyo 1500 hapajawahi tokea watu wengine wenye majina ya Imran na Haruni zaidi ya hao waliokuwepo kipindi cha Musa

Sent using Jamii Forums mobile app
WAISLAMU HAWANA AKILI KASEMA JIBRIL WAKATI WA MUHAMMAD
✔
Quran-49:4 Hakika hao waislamu wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba(Muhammad ) wengi wao hawana akili.

WAISLAMU WOTE VILAZA YAANI HAWANA AKILI
✔
Quran 62:2 Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma(WAISLAMU ) awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.

ASALAAM ALEIKUM


1622471443596.png
 
Ushahidi wa hili uko wapi ? Unao onyesha ya kuwa Paul alikuwepo wakati huo ?

Jukumu hili alipewa na nani ns nani alikuwa shahidi ?

Tuwekee vitabu vitatu tu,ili tukasome tupate faida.

Mitume wa Yesu ni kina nana na huo utume walipewa na nani na ushahidi uko wapi ?
Paul alizaliwa Mwaka 5 AD by the time yesu anakufa na kufufuka alikuwa almost 28 YEARS AROUND 33 AD

jukumu hili alipewa na Yesu, on the way to Damascus na hakuwa mwenyewe alikuwa na wenzake pia aliweza kukutana na wanafunzi wa yesu nao wakakubaliana naye

Nikuulize wew kwani Muhammad jukumu alilopewa la utume alipewa na nani wakati alikuwa mwenyewe kwenye pango nani alikuwa shahidi?

vitabu vya kusoma ni Annals cha Tacitus kiliandikwa mwaka 115 AD chapter 44, Antiquities of Jews cha Josephus

mitume wa yesu ni pamoja na wanafunzi wake, pamoja na wote wanaoamini katika kufa na kufuka kwa kristo kwa ajili ya Dhambi za wanadamu nikimaanisha wakristo. utume huo tumepewa na Yesu baada ya kufufuka kwake.

Mt 28:19-20 SUV​

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Screen Shot 2021-05-31 at 4.45.14 PM.png


Screen Shot 2021-05-31 at 5.07.11 PM.png
 
Umri wa Yesu Kufa ni 33 chukua mwaka Huu 2021 (maana tunahesabu kulingana na Yesu alivyo ondoka humu duniani) fanya Hesabu,
Tarehe na mwezi zimetajwa kwa majira late summer or early fall
Bado Umeshindwa kujibu swali langu !!
Jitafakarini sana.
Turudi kwenye swali langu Huyu Bulus wa Allah alienda antiokia kutoa ujumbe gani na kitabu cha bulus tunakipata wapi
Hakuna Bulus wa Allah.... Nilikuonesha tafsiri ya İbn kathir hakuna hilo jina bulus
 
MTUME WA UONGO HUYU HAPA

View attachment 1803695
Kama wewe unaasema Muhammad sio mtume toa andiko katika Quran linalosema Muhammad sio mtume wa Mungu

Vitabu vya hadithi vimeandikwa na watu ndio maana waislam tuna hadithi sahihi na hadithi ambazo sio sahihi

Pia kwa muislam kuamuni kilicho andikwa katika kitabu chochote cha hadithi ni option sio lazima maana hivyo vitabu vimepita katika mikono mingi



ACHA KUZUGA JIBU SWALI

Mnasema paulo utume amepewa na Yesu sasa mbona mafundisho yake yanapingana na Yesu?

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Hapa kwanza Yesu ana ndugu zake inamaana yeye ni bina adamu

Pia anasema Mimi wewe na yeye Yesu mwenyewe Mungu wetu ni mmoja

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Iweje nyinyi wagalatia msiamini na kufuata mafundisho ya Yesu badala yake mnafuata maneno ya mtume wa uongo Paulo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom