KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,510
- 88,978
🙄Hapo sawa ila upunguze notes sasa.
Sijakuelewa..??
Au haupendi kusoma vitu virefu..??
🙄Hapo sawa ila upunguze notes sasa.
Umeonaee?Umeongea ukweli japo wote si wabaya,,
Ila nimegundua jambo ambalo nalifanya kimya kimya huwa linafanikiwa kuliko lile ninaloongea kwa watu.
Kaka hauwezi kuishi kwakujishuku au kujihofia kuwa wewe ni mbaya wa maisha yako na badala yake maisha yako hayatokwenda vilivyo.Hapo vipi..??
Mweka mada amekandia watu wanaotuzunguka na kusahau kuwa wewe mwenyewe unaweza kuwa mbaya wa maisha yako!!..
Kama akili haitoshelezi unafikiri nani atakaepata athari wa kwanza kwa akili hiyo..??
Kama utaendekeza uvivu,ujinga,ushetani na kila aina ya upuuzi hapo hauhitaji mtu mwengine awe adui wa maisha yako!.. isipokuwa wewe mwenyewe umeshakuwa adui wa maisha yako binafsi.
Kwangu mmbaya wangu wakwanza ni Mimi mwenyewe!!… Kabla haujashuku wenzio je wewe umejishuku..??
Kabla hujasema wenzio kuwa wananuka je,wewe umejihakiki haunuki..??
Ikiwa tutaweza kujisimamia uimara wa nafasi zetu basi hatutaona nani mbaya!.. nafasi ya kwanza ya ubaya kujishuku ianze nawe ya pili ije kwa wengine ila ujihakiki kuwa nawe huna ubaya..
Maisha sometimes hayanaga formula!.. haka ka kauli kapana!.. siku njema.