Huyu dogo alikuwa anajiliza kwanini?

Huyu dogo alikuwa anajiliza kwanini?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16,707
Reaction score
39,184
Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini?
Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba

Hichi kilio kinatupa mashaka
Ni maumivu kuwa Ali Kamwe kapata mke Sasa wewe utaishi vipi au nini tafsiri yake

Au ni kilio cha furahia? Na penyewe furahia Gani hiyo?

Natamani ningekuwa ukumbini ningemtoa meno kama 4 hivi, tupunguze hizi hasara Kwa Taifa

Nashauri Eng Hersi Said toa hizi takataka ofsini

Nimekereka na tabia hii ya kipumbavu
Screenshot_20250801-212306.png
 
Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini?
Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba

Hichi kilio kinatupa mashaka
Ni maumivu kuwa Ali Kamwe kapata mke Sasa wewe utaishi vipi au nini tafsiri yake

Au ni kilio cha furahia? Na penyewe furahia Gani hiyo?

Natamani ningekuwa ukumbini ningemtoa meno kama 4 hivi, tupunguze hizi hasara Kwa Taifa

Nashauri Eng Hersi Said toa hizi takataka ofsini

Nimekereka na tabia hii ya kipumbavuView attachment 3427426
Au anamfahamu bi harusi, na hakutegemea ataolewa?
 
Back
Top Bottom