Huyu dogo alikuwa anajiliza kwanini?

Huyu dogo alikuwa anajiliza kwanini?

Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini?
Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba

Hichi kilio kinatupa mashaka
Ni maumivu kuwa Ali Kamwe kapata mke Sasa wewe utaishi vipi au nini tafsiri yake

Au ni kilio cha furahia? Na penyewe furahia Gani hiyo?

Natamani ningekuwa ukumbini ningemtoa meno kama 4 hivi, tupunguze hizi hasara Kwa Taifa

Nashauri Eng Hersi Said toa hizi takataka ofsini

Nimekereka na tabia hii ya kipumbavuView attachment 3427426
Nilipokuwa nawaambia mara kwa mara kwamba kuna vitabia havipo sawa na haviendani na medani ya kiume kwenye ile idara yenu ya habari mlindani naleta matani. Leo mmejionea wenyewe.

Ila pia tamthilia zetu wanaume wanalia saaaana sasa sijui chanzo cha haya yote ni nini.
 
Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini?
Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba

Hichi kilio kinatupa mashaka
Ni maumivu kuwa Ali Kamwe kapata mke Sasa wewe utaishi vipi au nini tafsiri yake

Au ni kilio cha furahia? Na penyewe furahia Gani hiyo?

Natamani ningekuwa ukumbini ningemtoa meno kama 4 hivi, tupunguze hizi hasara Kwa Taifa

Nashauri Eng Hersi Said toa hizi takataka ofsini

Nimekereka na tabia hii ya kipumbavuView attachment 3427426
Bure kabisa kabisa!
Hatushangai! Wamekuwa laini mpaka wanajifanananisha na wanawake!
 
Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini?
Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba

Hichi kilio kinatupa mashaka
Ni maumivu kuwa Ali Kamwe kapata mke Sasa wewe utaishi vipi au nini tafsiri yake

Au ni kilio cha furahia? Na penyewe furahia Gani hiyo?

Natamani ningekuwa ukumbini ningemtoa meno kama 4 hivi, tupunguze hizi hasara Kwa Taifa

Nashauri Eng Hersi Said toa hizi takataka ofsini

Nimekereka na tabia hii ya kipumbavuView attachment 3427426

Hili punga. Ndo yanatumika na gersi gaya. Yamejaa hapo mengi tu yanga
 
Msimtetee ni upuuzi wa kiwango cha sgr...unalia kama nani? Kama rafiki? Why ulie rafiki yako kaoa? Kama mzazi? Sawa tunaelewa maybe anakumbuka alipokutoa...
Sasa rfk wa kiume unamlilia rfk yako wa jinsia yako kama umefiwa mpk makamasi kweli??
Sisi wadada tukilia kwny shughuli za wenzetu huwa ni wivu tuu hakuna kingine..sasa yy nae anaona wivu??
Stupid
😂😂😂😂😂
 
Ukishalelewa na wamama, nawe unakuwa kimamamama...
Vitoto vya Kiume viko too emotional kama dada zao...
 
Back
Top Bottom