Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
Leo nimecheka sana, hii ni Press Conference yake ya pili naiangalia anazungumzia Katiba Mpya na kumjibu Lema mambo ya Bodaboda naona kama ni Comedian.
Hapo nyuma niliangalia nyingine akitoa Hitimisho la Mgogoro wa Mchungaji Kimaro wa Kijitonyama nilimaliza kuangalia nikiwa Mgonjwa kwa kucheka sana.
Kwa wanaomfahamu hivi huyu mtu nani na anafanya shughuli gani, ni kweli yuko serious na hizi Press conference zake au kuna watu wanamtuma tu.
Hapo nyuma niliangalia nyingine akitoa Hitimisho la Mgogoro wa Mchungaji Kimaro wa Kijitonyama nilimaliza kuangalia nikiwa Mgonjwa kwa kucheka sana.
Kwa wanaomfahamu hivi huyu mtu nani na anafanya shughuli gani, ni kweli yuko serious na hizi Press conference zake au kuna watu wanamtuma tu.