Huyu Diwani wa Kigamboni aliyemdindia Rais Samia na kugomea hafla ya utiaji saini ni nani?

Kiongozi wa nchi awe na uwezo wa kutatua mambo anayoyaona miaka 100 mbele leo hii,



Bishop Mpemba ana tahadharisha kuwa hivyo viongozi wawe makini na maamuzi ya leo watakayo aamua, kwani yana maana kubwa ktk mstakabali wa nchi miaka 100 ijayo. Kiongozi wa nchi ni tofauti na kiongozi wa familia ...


Source : Bishop Augustine Mpemba.


Mfano :
Rejea mradi wa mchanga wa thamani wa Kigamboni

MRADI WA MCHANGA WA THAMANI (MAKINIKIA), FUNGONI KIGAMBONI DAR ES SALAAM
Madini ya mchanga wa Fungoni Kigamboni Dar es Salaam Tanzania yataisha katika muda wa miaka 6 tu Read more : Projects | Strandline Resources Limited na watafungasha virago kuondoka na mashine zao ambazo ni za muondo wa kuhamishika waende kuendelea na shughuli kama hiyo mahali pengine. Je wawekezaji hawa watakuwa wametuachaje waTanzania na wakaazi wa Kigamboni ?
 
4 January 2022
Lindi, Tanzania

Lindi nao wasomeshwa kuhusu mradi wa gesi LNG wa USD 30 bn



ACT -Wazalendo watoa darasa kuhusu wananchi kushirikishwa pale miradi mikubwa inapoanzishwa ktk maeneo yao masuala ya fidia na wilaya husika kupewa hisa fulani endelevu

Source : DarMpya TV


http://gasprocessingnews.com › news
Tanzania says construction of LNG plant to start in 2022

Tanzania expects a consortium of international oil companies to start building a long-delayed liquefied natural gas (LNG) project in 2022, its energy ...
LNG project in Lindi Tanzania from gasprocessingnews.com

LNG terminal.

Equinor, alongside Royal Dutch Shell, Exxon Mobil and Ophir Energy and Pavilion Energy, plan to build the onshore LNG plant in Lindi region.

“Construction of this project is expected to start in 2022 and will be concluded in 2028,” Medard Kalemani, Tanzania’s energy minister, said in a budget presentation to parliament


https://www.bloomberg.com › articles
Tanzania May Start Building $30 Billion LNG Project in 2023

3 Jun 2021 — Tanzania plans to begin the construction of a delayed $30 billion liquefied natural gas project in 2023, following the resumption
 
Tuna Rais makini mwenye hekima na busara asiyekurupuka ni swala la muda kuja na maamuzi yenye haki.

Na ile ya ndugai Ni umakini. Rais wetu Ni binadamu. Nampenda kiongozi Wangu kwa mema yake na changamoto zake Pia. Hana nia mbaya.
 
09 July 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

Fidia inavyowachanganya wananchi KIGAMBONI,DSM watuma salamu kwa Rais Samia Hassan , wamtaka Waziri Anjelina Mabula


Siku tatu baada ya wakazi wa kata ya Kisarawe kutoka katika mitaa mitatu ya Mwandege,Sharifa na Mwasonga Manispaa ya Kigamboni jiji Dar es Salaam, kufika katika ofisi za Mwananchi Commuications LTD wakieleza kuwa hawajui hatma yao, baada ya Serikali wilayani humo kuwalazimisha kuondoka katika maeneo hayo kwa fidia ya Shilingi elfu tatu (3000) kwa mita moja ya mraba, tofauti na ilivyokuwa awali katika tathmini ya mwaka 2014 ambapo walielezwa kuwa watalipwa kiasi cha Shilingi elfu 20 kwa mita moja ya mraba Mwananchi Digital imefika katika eneo hilo.

Source : mwananchi digital
 
Rais Samia anasema kuna diwani alikuwa anapinga operation ya kuwaondoa wamachinga na leo kwenye mkutano wa Rais kule kigamboni kagoma kuja! Huyu diwani leo tena na wananchi wake wamegomea halfla ya utiaji saini wa kuchimba mchanga wakipinga mradi huo uko kigamboni!
Huyu Diwani kweli sio Sukuma gang kweli?

Nape,Bulembo mnamuachaje huyu diwani anamgombea Rais? Huyo diwani sio kiroboto? Huyu diwani hajui CCM ina wenyewe?





View attachment 2042854
Safi.... Lazima uwe sambamba na matakwa ya wananchi wako..
Sukari isikudanganye saana ukasahau kila kitu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom