Huyu demu hafai kabisa

Huyu demu hafai kabisa

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Huyu demu hafai kabisa, yuko hapa mjini anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji. Tulikutana kwenye Hoteli fulani sisi tukiwa tunapata kinywaji tulikuwa wawili tunakunywa castle lite za baridi. Tulivyomuona tukamuagizia kinywaji na haraka sana aliagiza kama ifuatavyo

1. Amarula double Tshs 10,000
2. Gordons double Tshs 10,000
3. Zappa double 2 Tshs 20,000

Jumla round yake Tshs 40,000 na haraka haraka alikamua round tatu.

Mimi naomba kuuliza nyie madada hivi ukifanya hivyo huwa unakuwa una maana gani? Je wanaume wakikumega na kukimbia utasema wabaya? Acheni kujiweka class zisizo zenu!!! Kama unaweza kunywa kinywaji kama hichi akikisha na wewe unapiga round na siyo umebeba shs alfu kumi tena umeifunga kwenye handkerchief

Nawakilisha
 
Mimi shida yangu kwanini ajiweke level ambayo si yake??? Yeye akiwa mwenyewe anagonga Kili ya moto halafu akipata bwerere ndo anafanya hivyo, si tabia mzuri kabisa yani na ndo maana mademu kama hao huwa hawaolewagi kabisa ndugu zangu
 
hakuongeza Hennessy na Jack Dany maana ungelia kabisa .ahahahahaah mujini man
 
ulitakiwa umwambie karibu soda au karibu beer
na ungemuagizia kabisa...
 
Na alitakiwa abebe kama alivyoagiza ndo ungekoma!!!!!!!

Hivi unakutanaje na mdada kama hivyo na kumparamia tu kuanza kuagiza vinywaji,hakujui,humjui????!!!!!

Ndio maana huwa mnaumizwa maana hamjui kuweka price tags on yourselves!!!!!!

Wadada wenyewe wanaita washobokaji; mtaumia humu mijini halafu home luku ina blink warning sign na gari service inakaribia huku fuel gauge ina shake hand na E-lizabeth!!!!!! Utaacha kuanzisha thread??????
 
itakuwa imekusaidia kumfahamu vema zaidi, kama bado anakufaa utamtafuta tena , ila kama vp ndo shukuru Mungu amekuonyesha live!
 
Ungemwambia kabisa,mm nilimpaga ofa mmoja akawa anaagiza haineken tshs 3500/= wakati anakunywaga
ndovu kama mm, nikamwambia nitakulipia tshs 2000/=kwa kila chupa kama bei ya ndovu ilivyo na hiyo ziada ya
tshs 1500/= utaongeza mwenyewe,akanywa mbili akaondoka.
 
Back
Top Bottom