Huyu demu hafai kabisa

Huyu demu hafai kabisa

huhuhuhuuuu anachocheo harafu asipopewa itakuaje

kwa mix za pombe kali hivyo lazima atapoteza network huyo kisha unajivutia kiulainiiii, kwapani umebana konyagi kichupa size ya kati kile kwa ajili ya kureload kila baada ya round ya mbili 😎
 
Huyu demu hafai kabisa, yuko hapa mjini anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji. Tulikutana kwenye Hoteli fulani sisi tukiwa tunapata kinywaji tulikuwa wawili tunakunywa castle lite za baridi. Tulivyomuona tukamuagizia kinywaji na haraka sana aliagiza kama ifuatavyo

1. Amarula double Tshs 10,000
2. Gordons double Tshs 10,000
3. Zappa double 2 Tshs 20,000

Jumla round yake Tshs 40,000 na haraka haraka alikamua round tatu.

Mimi naomba kuuliza nyie madada hivi ukifanya hivyo huwa unakuwa una maana gani? Je wanaume wakikumega na kukimbia utasema wabaya? Acheni kujiweka class zisizo zenu!!! Kama unaweza kunywa kinywaji kama hichi akikisha na wewe unapiga round na siyo umebeba shs alfu kumi tena umeifunga kwenye handkerchief

Nawakilisha

Wewe mwenyewe ndio umejitakia halafu unalalamika
 
Mimi shida yangu kwanini ajiweke level ambayo si yake??? Yeye akiwa mwenyewe anagonga Kili ya moto halafu akipata bwerere ndo anafanya hivyo, si tabia mzuri kabisa yani na ndo maana mademu kama hao huwa hawaolewagi kabisa ndugu zangu

Na wewe hujui bei ya vinywaji? Kwa nini hukuzuia kabla havijaletwa?
 
huyo lazima atakua Charming Lady, kama sio Demba au smile sijuiiii!!
 
Maskini tunamatatizo sana,mechi tunaziomba wenyewe then tunaanza lalamika.Lound ya kwanza,yapili,ya3 unatoa huku roho inakuuma?yakupa uwe na maamuzi kulingana na wakati.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom