Mimi shida yangu kwanini ajiweke level ambayo si yake??? Yeye akiwa mwenyewe anagonga Kili ya moto halafu akipata bwerere ndo anafanya hivyo, si tabia mzuri kabisa yani na ndo maana mademu kama hao huwa hawaolewagi kabisa ndugu zangu
Huyu demu hafai kabisa, yuko hapa mjini anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji. Tulikutana kwenye Hoteli fulani sisi tukiwa tunapata kinywaji tulikuwa wawili tunakunywa castle lite za baridi. Tulivyomuona tukamuagizia kinywaji na haraka sana aliagiza kama ifuatavyo
1. Amarula double Tshs 10,000
2. Gordons double Tshs 10,000
3. Zappa double 2 Tshs 20,000
Jumla round yake Tshs 40,000 na haraka haraka alikamua round tatu.
Mimi naomba kuuliza nyie madada hivi ukifanya hivyo huwa unakuwa una maana gani? Je wanaume wakikumega na kukimbia utasema wabaya? Acheni kujiweka class zisizo zenu!!! Kama unaweza kunywa kinywaji kama hichi akikisha na wewe unapiga round na siyo umebeba shs alfu kumi tena umeifunga kwenye handkerchief
Nawakilisha
hahaha angemkosa mtoto halafu umeshajikoki!
!
ungemuuliza anakunywa soda gani.
Unadhani hatuchunwi kaka? Tunachunwa sana tu ila hatusemi......hahahaah!Wadada wa humu mna kazi sana.
Sijui mtakua na guts gani za kumchuna member wa humu, akikualika kwa date.
Mimi shida yangu kwanini ajiweke level ambayo si yake??? Yeye akiwa mwenyewe anagonga Kili ya moto halafu akipata bwerere ndo anafanya hivyo, si tabia mzuri kabisa yani na ndo maana mademu kama hao huwa hawaolewagi kabisa ndugu zangu
Huyu demu hafai kabisa, yuko hapa mjini anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji. Tulikutana kwenye Hoteli fulani sisi tukiwa tunapata kinywaji tulikuwa wawili tunakunywa castle lite za baridi. Tulivyomuona tukamuagizia kinywaji na haraka sana aliagiza kama ifuatavyo
1. Amarula double Tshs 10,000
2. Gordons double Tshs 10,000
3. Zappa double 2 Tshs 20,000
Jumla round yake Tshs 40,000 na haraka haraka alikamua round tatu.
Mimi naomba kuuliza nyie madada hivi ukifanya hivyo huwa unakuwa una maana gani? Je wanaume wakikumega na kukimbia utasema wabaya? Acheni kujiweka class zisizo zenu!!! Kama unaweza kunywa kinywaji kama hichi akikisha na wewe unapiga round na siyo umebeba shs alfu kumi tena umeifunga kwenye handkerchief
Nawakilisha
Huyu demu hafai kabisa, yuko hapa mjini anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji. Tulikutana kwenye Hoteli fulani sisi tukiwa tunapata kinywaji tulikuwa wawili tunakunywa castle lite za baridi. Tulivyomuona tukamuagizia kinywaji na haraka sana aliagiza kama ifuatavyo
1. Amarula double Tshs 10,000
2. Gordons double Tshs 10,000
3. Zappa double 2 Tshs 20,000
Jumla round yake Tshs 40,000 na haraka haraka alikamua round tatu.
Mimi naomba kuuliza nyie madada hivi ukifanya hivyo huwa unakuwa una maana gani? Je wanaume wakikumega na kukimbia utasema wabaya? Acheni kujiweka class zisizo zenu!!! Kama unaweza kunywa kinywaji kama hichi akikisha na wewe unapiga round na siyo umebeba shs alfu kumi tena umeifunga kwenye handkerchief
Nawakilisha
:smile-big:wakati bado anaendelea kuagizia vitu vya gharama hivyo, wewe agizia supu ya pweza na konyagi chap chap uanze kuweka mambo sawa