Huyu dada simwelewi

Huyu dada simwelewi

B49

Member
Joined
Sep 20, 2018
Posts
75
Reaction score
119
Huyu dada ni zaidi ya Miezi 6 tangu tumefahamiana
kiumri amenizid maana yeye ana miaka 30 na mm nna miaka 24 , maisha yake ya uchumi sio mabaya maana anafanya kaz na sio tegemezi
Tatzo ni maisha yake ya mahusiano kwa mda mrefu nimemchunguza nikagundua Hana mtu wala mtoto yuko single hata nilipomuuliza akaniambia hajapata mtu, jibu lililonipa wasiwasi maana yuko vzur kwa mwonekano
Niliamua kumtongoza sasa Leo amenipigia Simu akaniambia amekubali kuwa na mim
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin
 
Kaianze kabisa weekend naye.
Unasubiri nini?
 
Huyu dada ni zaidi ya Miezi 6 tangu tumefahamiana
kiumri amenizid maana yeye ana miaka 30 na mm nna miaka 24 , maisha yake ya uchumi sio mabaya maana anafanya kaz na sio tegemezi
Tatzo ni maisha yake ya mahusiano kwa mda mrefu nimemchunguza nikagundua Hana mtu wala mtoto yuko single hata nilipomuuliza akaniambia hajapata mtu, jibu lililonipa wasiwasi maana yuko vzur kwa mwonekano
Niliamua kumtongoza sasa Leo amenipigia Simu akaniambia amekubali kuwa na mim
Kiukwel nampenda lkn ananichanganya simwelewi kabisa Kwnn Amekaa single mda mrefu na wala Sjapata resistance kumpata
Wakuu nishaurin
Nenda akakulee kijana mbona maneno kibao wakati unataka kitonga
 
Bwana mdogo, kuwa single sio tatizo ni maamuzi tu, jitahidi umuelewe hiyo ni bahati imekuangukia kuokota embe dodo chini ya mlimao.
 
Bwana mdogo, kuwa single sio tatizo ni maamuzi tu, jitahidi umuelewe hiyo ni bahati imekuangukia kuokota embe dodo chini ya mlimao.
Ila inawezekana
Ngoja nikaribu kufanyia kazi ushauri wako mkuu
 
Simjaribu nampenda Kwel Ila tatzo simwelewi hyo kumtongoza Imetokea tu involuntary
 
Back
Top Bottom